Gwakisa Mwandule
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 521
- 185
Tatizo la zito ni njaa!uNAJUA MUDA WOTE CCM WANATAFUTA PAKUSHIKA ILI WATOKE KTK HUU MSIBA WAO UTAKAO MALIZIKA RASMI 2015.Zitto ni mtoto wa Tisa kati ya watoto 11 ameishi maisha duni sana hivyo kauli zake ni kutaka apate pakutokea sasa maadam nao sisiemu wanataka kutoka mikononi mwa chadema hivyo wamemwambia tutoe tukutoe!But kuondoka zito ni sawa na van persie kuondoka arsenal maana majembe yapo kibao!Valisha Gamba zitto valisha Gwanda Mwandul!!Chezea Nyakyusa wewe???????Niliiona kama kauli ya kimbea flani hivi, HEAVY amebadilika anajifanya ndo kila kitu kwenye siasa, alikuwa tishio zaman. Wasiwasi wangu ni kuwa anaweza akadhani anatumika kuarbu chama kumbe wanamtumia yeye kujiaribia binafsi. Kiukweli TL ana uwezo wa uelewa ukimlinganisha na Nzito,mara kadhaa TL ameitwa kutoa mawazo kwenye tribunals za kimataifa,hoja ya Nzito ya mwandiko ni ya kitoto na haikuwa na jipya. Tunanmwangalia mwanasiasa huyu kijana tunapata dalili mbaya juu yake. Mda unao jirekebishe.