POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,402
We masalia acha unafiki na kujipendekeza, Zitto kachemka, kama ni kujibu mapigo mbona naibu waziri Simba kaongea zaidi ya week sasa?mkuu
kuna watu humu wanataka kutufanya watanzania ni wajinga sana,wanataka kutufanya kuwa hatuwezi kusoma na hata picha hatuoni pia.Mh Zitto sio mjinga,anaelewa nini kinaendelea na hawezi kufanya mambo kwa kukurupuka maana anaelewa ipo chuki na upotoshaji unaoendelea,sasa walitaka maneno aliyoyasema Naibu waiziri juu ya Zitto yaende bila kujibiwa na yasubiri kujibiwa na chama,kuna mawili hapa,kuna ya chama na kuna ya mtu binafsi
katajwa Zitto inabidi ajibu yeye kama zitto,kingetajwa CHAMA msemaji wa chama angekisemea chama.huwezi subiri msemaji wa chama aje kumsemea zitto.
Tubadilike,kila mtu atimize wajibu wake
Kwa nini Prezzo hakutoa tamko la kujibu mapigo mapema kama ni hilo!
ZZK hakkujua kama kuna KK ya Chama? Kwanini afanye leo na si juzi ama day after Simba's speech!?