mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,310
- 6,548
Kama viongozi wa juu wapo kimya....wacha ZZK aongee yumkini ana jambo linaloweza kuwacomfort watu wa Mtwara. Ikumbukwe kwa sasa wanaMtwara wamejiunga wakiamua kufanya jambo lolote wanafanya..mf kuweka vizuizi barabarani. kupiga mawe magari ya serikali n.k....wanajaribu kufikisha ujumbe kwamba wanataka kusikilizwa......