uamuzi gani kuomba radhi..aombe radhi kwa kutaka kugombea uenyekiti wa cdm?. cdm inazidi kudhihirisha haina tofauti na vyama vingine vya upinzani. inaendeshwa kama kampuni binafsi.Maamuzi magumu ni kuomba msamaha na sio vinginevyo
...5
Ben Saanane +255768078523...:
Ujinga uliopitiliza, hivi chadema wasio wakristo ni Zitto na Arfi tu? hivi wewe ndio ulikuwa moderator wa JF mtupu hivi? jamaa waliona mbali sana kukufurusha
....chadema msikubali wala kurudi nyuma,onyesheni chadema ni taasisi.Hivyo mtu kama Zito ahangaike na sheria na kanuni za chama.Kama kuna sheria ya chama inayomhukumu basi lazima ahitii.
Sasa braza aombe radhi kwa kosa gani?? Kutaka mahesabu ya vyama vya siasa yakaguliwe?? Kutaka kugombea uenyekiti chadema. ?? Kuonesha nia ya urais mapema??Hakuna Uamuzi Mwingine Mgumu ambao ni makini anaopaswa kufanya zaidi ya Kuomba Radhi kwa wapenzi na wanachama wa CHADEMA na kusonga mbele
Kwenda chama Kingine itakua uamuzi mgumu lakini sio makini
Zitto ni makini na washauri wake ni makini pia, huenda maamuzi magumu anayotaka kufanya ni kuendelea na chama kwa kuomba msamaha. Maana hakuna kitu kigumu kama kuomba msamaha.
Kama chadema ingekua inaondoa maovu basi shibuda angeondoka kabla ya zitto maana alisaliti tangu sikubya kwanza alipohudhuria kuapishwa kwa JK.zitto n tishio kwa nafasi ya mbowe kama mwenyekiti.undugu,uchaga na ukatoliki ndo umemuondoa zitto CDM
Chukua uamuzi, haraka, ndo ujue kuchukua uamuzi wa kujiondoa madarakani unavyokuwa mgumu. Hahahaahaha haya yamekufika onyesha mfano
1.hatagombea ubunge tena katika jimbo analoongoza sasa
2.atafanya maamuzi magumu muda siyo mrefu
source: twitter yake