Zitto: Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema "Hatutetereki"

Zitto: Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema "Hatutetereki"

Mkuu Zitto hongera kwa mapambano na mafisadi papa. Hebu tujuze nini chaendelea kweny huo mkataba wa kifisadi wa STATEOIL au ndio umeshasainiwa na wawakilishi wa mafisadi? Je ni hatua gani unayochukua na inayopaswa tuchukue sisi tusio wabunge
 
Ile milioni sita ulliyotuhumiwa kuchukua kwa ajili ya kutibia mama naona hujaiongelea

IV hata kwa akili ndogo uliyonayo wewe na wale viongozi wa vyama sita wachumia tumbo inakuingia akilini kuwa ZITTO alikosa pesa ya kumtibu mama yake, wakati mwingine kabla ya kuandika fikiria japo kidogo unataka kuandika nini.

nitaleta uzi hapa kwa MODS wenye ombi la angalau kwa miezi 2 watu watumie IDs zao halisi ili angalau tutambuane yani angalau kwa miezi 2 tu baadae lirejee kama zamani
 
Zitto Hongera sana kazi unayo Fanya ni kubwa Sana na usitegemee watu wote kuipenda! Mimi huwa nakuombea kila Leo Mungu aendelee kukulinda!

Wewe ni mtu makini sana na tunu kwa taifa kupitia wewe huwa naamini vijana wana uwezo wa kuongoza taifa!
Ona huyu,yeye kaja kusafisha maswahiba wake wewe.unasifia kazi zake.

Huyu jamaa ni kilaza sana ujanja wake ni kurukia hoja kwa mbele,na kutaka kukwapua credits zote kwa maslahi yake binafsi.

Kwa mfano tuachane na huu utetezi wake.

Ameingiza hapa issue za escrow account.

PAC imefanya nini kwenye hii issue.

Kama ndio iliiagiza pccb au cag kufanya uchunguzi si ingepewa taarifa yenyewe?

Taarifa inapelekwa kwa rais sababu maelekezo ya kufanya uchunguzi yalitolewa na serikali.

Na kitakachofanyika,kama kuna watu wamebakia huko serikalini wanaofikiria ni kwamba,Rais atachukua hatua immedietly wala hataipeleka bungeni sababu huko bungeni kitakachofanyika ni kuishauri serikali kuchukua hatua.

Na hapo ndio mlango wa kudandia hoja utakuwa umefungwa rasmi.

Umenielewa?

Jifunze kujadili hoja iliyomezani na sio kuwapotosha watu kwa kujadili mambo meeeengi at par?

Eti oginga ana mtoto,ndio mambo ya kuja kutueleza sisi hayo kwa mgongo wa PAC.
 
Last edited by a moderator:
TUONYESHE RAFIKI ZAKO,TUTAKWAMBIA WEWE NI MTU WA AINA GANI-Hahaha-Soon true Colour za wanafiki zitajulikana-Prof.Muhongo Kafunga Maduka ya majambazi na wahujumu wa Wizara ya nishati na madini,VIBARAKA WANATAPATAPA !!!
 
Haujajibu tuhuma hata moja hspo,unapiga kelele tu na unadhihirisha u shalo wako.

Kwanza kwa nini unamjibia huyo ceo wa shell? kwamba sio aliyevujisha mkataba wa statoil balu ni waandishi wa habari?

Na unaizungumzia shell, wewe kana nani shell?

Nilitegemea kama umekuja hapa kujibu tuhuma ujibu tuhuma zako.

Kwa mfano,ungeeleza kwamba matibabu ya marehemu mama yako uliyagharamia kwa pesa zako mwenyewe n.k na haujawahi kuomba pesa directly au in directly kutoka PAP. Na sio kutishia watu na vyombo vya dola.
Mkuu
Jama kwa kila tuhuma hajajibu ni kweli ushalo
Eti anazijua propaganda ..mara uvivu wa kikra

Anajigonga gonga tu.

Huyo Mkwenya wala hajamkana so hizo tuhuma dhidi yake ni za KWELI.

Kila akikanusha anaomba vielelezo. yeye mbona hatoe kielelezo?

Anaulizwa huyo mkenya kamsaidi uraia.

Zitto anajibu eti ameoa na anawatoto.

Watanzania wa leo siyo wajinga.
 
Last edited by a moderator:
Ona huyu,yeye kaja kusafisha maswahiba wake wewe.unasifia kazi zake.

Huyu jamaa ni kilaza sana ujanja wake ni kurukia hoja kwa mbele,na kutaka kukwapua credits zote kwa maslahi yake binafsi.

Kwa mfano tuachane na huu utetezi wake.

Ameingiza hapa issue za escrow account.

PAC imefanya nini kwenye hii issue.

Kama ndio iliiagiza pccb au cag kufanya uchunguzi si ingepewa taarifa yenyewe?

Taarifa inapelekwa kwa rais sababu maelekezo ya kufanya uchunguzi yalitolewa na serikali.

Na kitakachofanyika,kama kuna watu wamebakia huko serikalini wanaofikiria ni kwamba,Rais atachukua hatua immedietly wala hataipeleka bungeni sababu huko bungeni kitakachofanyika ni kuishauri serikali kuchukua hatua.

Na hapo ndio mlango wa kudandia hoja utakuwa umefungwa rasmi.

Umenielewa?

Jifunze kujadili hoja iliyomezani na sio kuwapotosha watu kwa kujadili mambo meeeengi at par?

Eti oginga ana mtoto,ndio mambo ya kuja kutueleza sisi hayo kwa mgongo wa PAC.

Mkuu nashani Zitto uwezo wake wa kufikiria unazidi kushuka kwa kasi ya ajabu.

Kitila amemponza hadi kujenga hoja hawezi.

Kila kitu kimekuwa PAC hana lolote.
Kawa mwepesi kama karatasi ya A4
 
Mkuu
Jama kwa kila tuhuma hajajibu ni kweli ushalo
Eti anazijua propaganda ..mara uvivu wa kikra
Anajigonga ginga tu. Huyo Mkwenya wala hajamkanya so hizo tuhuma dhidi yake ni za KWELI.

Kila akikanusha anaomba vielelezo yeye mbona hatoe kielelezo?

Ahaulizwa huyo mkenye.

Yeye anajibu eti ameoa na anawatoto

Watanzania siyo wajinga.
Hahahaha mi nilikuwa ma hasira zangu huku sina hela lakini nimecheka sana jamaa kuleta habari za watoto wa oginga.

Mi sielewi unajua.haka kajamaa bwana.
 
Mkuu nashani Zitto uwezo wake wa kufikiria unazidi kushuka kwa kasi ya ajabu.

Kitila amemponza hadi kujenga hoja hawezi.

Kila kitu kimekuwa PAC hana lolote.
Kawa mwepesi kama karatasi ya A4
Na hapo utakuta kitila ka edit hii,tena anaweza akawa amemuhimiza kujibia hapa ili ku come out clean.

Si unajua kwenye ile swot analysis yake na mwigamba walisema jamaa anauwezo wa kujenga hoja.

Ndo kajenga hoja sasa,anashambuliwa kwa sababu oginga ana mtoto ahhahahaaaa mama wanee tatigha nseke oni
 
Kwa hili,tofauti zingine tuweke pembeni mwizi akamatwe kwanza.Go Zitto gooo
 
Hasira hizi walizo nazo wanaonituhumu na Kamati yangu zimewapelekea kugushi nyaraka mbalimbali zinazonituhumu mimi na wenzangu ili kutuogopesha na kutukatisha tamaa katika kutafuta ukweli juu ya suala la uporaji wa fedha kutoka Benki..

Angalau umejitokeza kujibu tuhuma maana ulikuwa kimya sana na watu walishaanza kuamini kwamba labda kuna ukweli ndani yake.

Hilo la kughushi nyaraka naona ni kesi ya polisi sasa na unapaswa kulipeleka huko. Usifuate mkumbo wa akina Membe, Kinana et la kulalamika hovyo kwamba wanachafuliwa lakini hawasogei kufungua mashtaka popote kwa sababu zilizo wazi kabisa - wanaogopa vivuli vyao.
 
Hivi mtaalamu Zitto maana ya Company Limited by guarantee ni kampuni isiyofanya faida kama ulivyosema?

Au unamaanisha toke Gombe advisors ianzishwe imekuwa ikitengeneza hasara?

Hahahaaaaaa zittooooo,eti consultant.

Unasema ulichambua mkataba wa statoil,na maana ya limited by guarantee haujui.

Wewe ndio kunakipindi nilikuamini na kukusufia mpaka koo linanikauka eti ni mtaalamu.

Naomba,nisamehewe madhambi yangu yote kwa kweli.
 
Last edited by a moderator:
Angalau umejitokeza kujibu tuhuma maana ulikuwa kimya sana na watu walishaanza kuamini kwamba labda kuna ukweli ndani yake.

Hilo la kughushi nyaraka naona ni kesi ya polisi sasa na unapaswa kulipeleka huko. Usifuate mkumbo wa akina Membe, Kinana et la kulalamika hovyo kwamba wanachafuliwa lakini hawasogei kufungua mashtaka popote kwa sababu zilizo wazi kabisa - wanaogopa vivuli vyao.

Hawezi kwenda mahakamani,anaogopa kufungua kopo la minyoo.
 
Wote wanaoitakia mema nchi yetu ni lazima waungane na kuzika tofauti zao ili kupambana na waovu na mafisadi wanaomaliza nchi hii. hili ndilo hitaji muhimu kwa sasa. kutoka tembo 75,000 hadi 13,000 ni tishio! Rasilmal za taifa hili zinachezewa na kuuzwa kama pipi. Hivi miaka 50 ijayo historia watakayofundishwa watoto wetu itasemaje kuhusu huu uuzaji wa rasilimali zetu na je, si kama Sultani Mangungo alivoigawa ardhi yetu Kwa Wajerumani kwa ujinga?
tunataka uwekezaji na si uporaji!
 
TUONYESHE RAFIKI ZAKO,TUTAKWAMBIA WEWE NI MTU WA AINA GANI-Hahaha-Soon true Colour za wanafiki zitajulikana-Prof.Muhongo Kafunga Maduka ya majambazi na wahujumu wa Wizara ya nishati na madini,VIBARAKA WANATAPATAPA !!!

Hili nalo neno!
Yaweza kuwa baadhi kawatesa eti?
 
PAP wanalipwa milioni 400 kila siku, wazalishe umeme wasizalishe.
Nimeona hiyo sh. milioni 400 kila siku, nikafadhaika sana moyoni, nikawakumbuka watu fulani humu nilibishanano sana kuhusu huyu PAP kuwa ata shusha bei ya umeme, hawa jamaa kweli ni wezi wa mchana na hawana huruma kabisa na hali ngumu za WATZ, very sad
 
Hivi mtaalamu Zitto maana ya Company Limited by guarantee ni kampuni isiyofanya faida kama ulivyosema?

Au unamaanisha toke Gombe advisors ianzishwe imekuwa ikitengeneza hasara?

Hahahaaaaaa zittooooo,eti consultant.

Unasema ulichambua mkataba wa statoil,na maana ya limited by guarantee haujui.

Wewe ndio kunakipindi nilikuamini na kukusufia mpaka koo linanikauka eti ni mtaalamu.

Naomba,nisamehewe madhambi yangu yote kwa kweli.

Huyo ndio mtaalamu ZK. Mchambuzi company by Limited imekuwa ni Trustees ama NGO siku hizi.

Si angesema tu Gombe advisor ni NGOs

Mtaalamu wa kupiga dili.

Naseka noi nonene
 
Last edited by a moderator:
Hii gear aliyokuja nayo ZZK imekamata, kasoro ni kuwapiga wapambanaji wa CDM!!
Unajua kabisa ukizamisha CDM wezi wataendelea kupeta hakuna wa kuwawajibisha!!
Sina hakika kama kweli ZZK ana dhamila safi ya kupambana na mfumo wa wezi na mafisadi waliokuwa wanamfadhiri huko nyuma!!
 
Back
Top Bottom