Hata wale walio mpa kichapo Dr Alex aliyetumwa na MM nao ni haohao uliowataja?!
Mbona Zitto watu wengi tumeshaanza kumsahau?
Siku hizi ukiweka habari yoyote Positive ya Zitto kwenye gaZeti lako hupati wanunuzi. Mfano Gazeti la Mwananchi, toka walipoanza kumpamba Zitto kwenye Gazeti lao mapato yalipungua zaidi ya nusu.
Uwezo wa zitto ni zaidi ya viongozi wote wa makao makuu wa chadema hutaki unaacha ila huo ndiyo ukweli.
Kakijana kanaumwa na bila shaka katakuwa kanaumwa stress. kanaumwa unafiki na usaliti.
ile zomea zomea ya pale mahakamani nilijua tu kuwa lazima kataumwa.
Source Gazeti la Mtanzania.
Mbona Zitto watu wengi tumeshaanza kumsahau?
Siku hizi ukiweka habari yoyote Positive ya Zitto kwenye gaZeti lako hupati wanunuzi. Mfano Gazeti la Mwananchi, toka walipoanza kumpamba Zitto kwenye Gazeti lao mapato yalipungua zaidi ya nusu.
mboe alisema tuu, ili ajisafishe, nasikia alitoa hela kwa gazeti la mwanachi liweke ile taharifa mbele na kwenye gazeti lake aliamuru kuwa taharifa hiyo iwe ukurasa wa mbele, . Gazeti la tanzania daima leo linamambo mengine tofauti ili kupotezea ya zzt kumjibu mboe
hili gazeti mhariri wake ni absalom kibanda aliyekuwa mhariri wa tanzania daima zamani.
Absalom kibanda huwa anajinasibu kwamba yeye na zitto ni marafiki sana.
Gazeti la mtanzania mmiliki wake ni rostitamu ambaye ametajwa mara kadhaa kuwa na mawasiliano ya karibu na zitto. Pia katajwa na zitto eti alimuhonga mbowe kipindi cha uchaguzi.
Kwa sababu hizo hapo juu zageti hili haliaminikina kamwe haliwezi kuaminiwa kwa habari inayowahusisha watajwa hapo juu.
Kwa vyovyote litaandika udaku tu
Lazima aumwe. Chezea kufukuzwa wewe!?
Lazima aumwe. Chezea kufukuzwa wewe!?