Zitto: Namsubiri Mbowe Mahakamani

Zitto: Namsubiri Mbowe Mahakamani

Status
Not open for further replies.
Unaweza kufanya kamchezo akapewa hela tena na mkono akahonge majaji ili kumkandamiza zitto.

mbowe ni mzee wa madili anajua hawezi kumshinda zito.lazima akapige dili lingine na nimrod mkono wachakachue maamuzi ya mahakama
 
Mbunge wa kigoma kaskazini zitto Kabwe (Chadema), amesema anamsubiri mwenyekiti wa chama hicho, Freema mbowe mahakamani.
Zitto ametoa kauli hiyo baada mbowe kutangaza kumburuza mahakamani kutokana na kile kinachodaiwa kumzushia tuhuma za uongo
Nasema sitaki malumbano na kiongozi yoyote, nachotambua masuala ya mahakama yanajibiwa mahakamani na si vinginevyo" alisema zitto.

Zitto alitoa kauli hiyo, baada ya MTANZANIA kutaka kujua msimamo wake kutokana na kauli ya Mbowe kukududia kumshitaki, kutokana na madai ya kusema uongo dhidi yake. Zitto ambaye yupo nchini Nigeria anakohudhuria vikao vya kamati za Bunge za serikali kwa nchi za Afrika, alisema pamoja na Hali hiyo mahakama ndio njia pekee ambayo haki ya mtu inaweza kupatikana.
Alisema kwa msingi huo, hivi sasa hayuko tayari kuruhusu malumbano ambayo Hayana tija kwa Taifa.

" nipo Nigeria na bahati mbaya ninaumwa sana, ila hivi Leo ninamshukuru Mungu nimepata nafuu kidogo. Kama nilivyosema mwanzo sitaki Malumbano na mtu. Pamoja na kusema anaumwa, hakuwa tayari kufafanua ni ugonjwa gani unaomsumbua.

" huu muda nahitaji kutafakari maisha yangu kisiasa na kwa vyovyote vile masuala ya mahakamani yatajibiwa mahakamani", alisisitiza zitto

Kafeli kazi ya uyahya! Tiss
 
Haliozi mkuu,msimu ukifika utalitafuta tu,ukitaka kuchimba shimo utalipigia magoti,kukwetua majani......mwe,jembe acha kabisa!

Dah,... Mi sitaki kuwa jembe aisee. Bora niwe kapu la kuvunia... Jembe unalima wee, hadi unavunjika mgongo (mpini). But kwenye mavuno hakuna anayehangaika na wewe...
 
mbowe aachane na marehemu wa kisiasa zitto,anakataa posho bungeni anachukua kubwa zaidi za kwenda NIGERIA KWYE
 
sasa wakili wa mbowe atakuwa nani?tundu lisu kashabwagwa na kijana msomi albert msando. au mbowe ataimgia dili lingine na nimrod mkono awe wakili wake

Hujui lolote kuhusu sheria na kuizungumzia hapa ni kujipa tu wewe aibu!

Kabla ya kuanza "Nolo contendere"hakuna upande wa Baraza la Udhamini ulioshtakiwa ULISHINDA kesi ya kusimamishwa ubunge na Mbunge husika!

Kafulilah aliwashinda NCCR;Hamad Rashid akawashinda CUF na Zitto kaishinda CHADEMA hata Mansoor angeenda Court angeshinda tu!Mbona hamjawahi kuwasifia mawakili wa akina Kafulilah?

Hamna jipya alilolifanya Wakili Msando maana hata akina Hamad walishinda kesi zao za kupinga kufukuzwa!
 
mbowe aachane na marehemu wa kisiasa zitto,anakataa posho bungeni anachukua kubwa zaidi za kwenda NIGERIA KWYE

alimwambia lema kama anaushahidi wayeye zito kuchukua posho za pac auweke hapa jf.had leo kimya
 
Uwezo wa zitto ni zaidi ya viongozi wote wa makao makuu wa chadema hutaki unaacha ila huo ndiyo ukweli.

Uwezo wa ZITTO ni zaidi ya ukoo wako wote,mpaka panya,mende,kunguni na viroboto vyote katka kuta za nyumba zenu aiseee!
 
Ningekuwa Mbowe ningeacha naye make ukikimbizana na kichaa mtu anashindwa kutambua aliye mzima. Aachane na huyo UVCCM
 
Na kweli zito mgonjwa kichwa chake kimevurugwa na haka kaugonjwa kabaya sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom