D2050
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 1,958
- 1,190
Mungu akulinde Zitto, Pigania nchi yako mpaka mwisho.
wengine wanapigania nini?
Mungu akulinde Zitto, Pigania nchi yako mpaka mwisho.
Mbona Zitto watu wengi tumeshaanza kumsahau?
Siku hizi ukiweka habari yoyote Positive ya Zitto kwenye gaZeti lako hupati wanunuzi. Mfano Gazeti la Mwananchi, toka walipoanza kumpamba Zitto kwenye Gazeti lao mapato yalipungua zaidi ya nusu.
Umeonaaeee???
Ingekuwa maamuzi yameifeva CHADEMA si ungekesha hapa ukimsifia Tundu Lissu wewe?Hujui lolote kuhusu sheria na kuizungumzia hapa ni kujipa tu wewe aibu!
Kabla ya kuanza "Nolo contendere"hakuna upande wa Baraza la Udhamini ulioshtakiwa ULISHINDA kesi ya kusimamishwa ubunge na Mbunge husika!
Kafulilah aliwashinda NCCR;Hamad Rashid akawashinda CUF na Zitto kaishinda CHADEMA hata Mansoor angeenda Court angeshinda tu!Mbona hamjawahi kuwasifia mawakili wa akina Kafulilah?
Hamna jipya alilolifanya Wakili Msando maana hata akina Hamad walishinda kesi zao za kupinga kufukuzwa!
Hamchoki kulumbana!!!!!??watu mna stamina ya migogoro!wengi tumechoka kelele zenu.
wengine wanapigania nini?
wengine wanapigania nini?
Uwezo wa zitto ni zaidi ya viongozi wote wa makao makuu wa chadema hutaki unaacha ila huo ndiyo ukweli.
zito ni kijitu cha ajabu kwel,,, kama kuna kitu nilimtharau alipo sema sitoki chadema, wakati watu hawamtaki, pumbavuu kbc huyu kijana
wengine wanapigania nini?
Ingekuwa maamuzi yameifeva CHADEMA si ungekesha hapa ukimsifia Tundu Lissu wewe?
Wasiomtaka Zitto CHADEMA hawazidi hata kumi, Mbowe, Slaa, Lema, Mrema, Komu, etc
Mamilioni ya watanzania na maelfu ya wafuasi wa CHADEMA bado wana Imani na Mh.Zitto.