Khaa!! Mibavicha ni mijitu ya hovyo hovyo sana. Mara ZZK tumempuuza mara mnakuja na thread za ajabu ajabu tu. Ndiyo tatizo la kuwa na kundi kubwa la wajinga
mkuu hurudii tena zile hadithi zako za mfukuzeni muone?
Madhara ya onyo"mfukuzeni muone" ndo hayo yanayowatoa povu kila cku
... Mimi Zito Namkubali Sana, Ingawa Ana Mapungufu Kama Binadamu Yeyote Tu
Umenena iliyo kweli.zito ni kiongozi mkubwa na imara
unaliwa akili yako na wachawi wewe! wewe ndo mwenye chadema! Punguani xana wewe
Kifupi Zitto ana moyo mkubwa sana kubakia Chadema hadi leo hii na sielewi kwa nini maana Dr.Slaa aliondoka CCM na akapata Umaarufu zaidi Chadema, historia imetufundisha mengi sana. Kama ningekuwa mimi nisingesubiri hata siku moja maana chama hiki kimekuwa club ya Mpira na sii chama cha Siasa tena. Ujinga mkubwa unaendelea na sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu atakubali kupelekeshwa kiasi hiki..Najaribu kumwelewa Zitto, lakini sasa imefika mahala nadhani aijitoe mwenyewe na kujiunga rasmi ACT halafu mchezo uanze, sisi watazamaji tukanunue soda na Popcorn.
Hivi wewe unajua maana ya "MY TAKE"?au unaiga tu?
Zito ni kinyago tulichokichonga wenyewe,hakiwezi kututisha