Zitto nakupa wiki moja uondoke CHADEMA

Zitto nakupa wiki moja uondoke CHADEMA

Hata kama hana uwezo mmezidi sana mdomo kiasi kwamba sasa mnachosha. Ni sawa na mtu alolewa pombe anaongea hovyo usiku kucha.
Na nawaambieni kabisa kwamba Zitto akijiondoa rasmi Chadema na kuingia ACT, moto wa kisiasa utaripuka na utaona jinsi Chadema itakavyosambaratika maana sasa imefikia kuwa Chadema ina watu wake wanaoaminika - Chama cha Mpira, mnachosha sana hata kuwasikiliza!

Amefukuzwa ili tuone huo mlipuko na CDM ife,atoe hata kesho kama ye ni kichwa na kuilipua cdm anasubiri nini
 
Nimeamini kumbe kweli usaliti ni aibu kubwa kwa binadamu. Unachukiwa kuliko hata nyoka? Heshima yote inaporomoka hivihivi! Ni aibu kabisa kwenye jamii.
 
Sidhani kama bado anang'ang'ania kurudi CHADEMA baada ya kutimuliwa ila namuona amepanic na anahangaika Ubunge wake wa mahakama uonekane wa maana! bahati mbaya hakujua kuwa downfall yake aliitengeneza na kuupalilia thru hujuma zake kwa Wapenda mabadiliko Tanzania...
 
CHADEMA ikishinda uchaguzi wa mitaa mwezi wa kumi kwa asilimia 30,nitahama Tz
 
Msalani, ifweero, Ritz, faiza foxy, lizaboni njooni mumuokoe zito pandikizi lenu magamba.
 
Hata kama hana uwezo mmezidi sana mdomo kiasi kwamba sasa mnachosha. Ni sawa na mtu alolewa pombe anaongea hovyo usiku kucha.
Na nawaambieni kabisa kwamba Zitto akijiondoa rasmi Chadema na kuingia ACT, moto wa kisiasa utaripuka na utaona jinsi Chadema itakavyosambaratika maana sasa imefikia kuwa Chadema ina watu wake wanaoaminika - Chama cha Mpira, mnachosha sana hata kuwasikiliza!
Hapo kwenye red,mkuu unata huyo Zitto wako aingie ACT mara ngapi mbona ndiye MM na muasisi wa ACT hulijui hilo,impact yake hapo ndipo ilipoishia,unaambiwa samaki nguvu yake ni pale kwenye dimbwi la maji akishatolewa nje kwisha kazi yake,isitoshe sidhani kama Zitto alishafikia umaarufu wa Kaburou.
 
Gongo mbaya sana ndg zangu wa ufipa.

Nyie kila siku mnasema zito ni mbunge w2 mahakama na kwenye sacos yenu mlishamfukuza kitambo.

Sasa mnataka atoke wapi tena... chadema au mahakamani????
Ufafanuzi kidogo jamani...
 
akiondoka sasa posho atapata wapi? na TISS walishamtosa kwani hana impact tena kwa cdm
 
Zitto tupu kichwani,kweli hayawani,
Akili zipo kwapani,Zito punguani,
Sura kama nyani,haso na aibu usoni,
Zito toka chamani,cdm mfukuzeni

Zito cdm hatufai,kama mavi chooni,
Sasa chadema bai,we kwako jalalani,
Sura kama kalai,afadhali hata nyani,
chadema hutufai,msaliti ewe mfitini,

Fuata akina stela,binti mwampumbu,
Mwezio Yule taila,cdm sio mbumbu,
Zito tena ----,cdm usitujazie mbu,
Zito hufai kanisani,hufai ata msikitini


Na malenga wenu. MANGUNGO

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums


Namini @Njano5 atajibu hii kitu.
 
Umejikanyaga wee lakini mwishoe unasema kama ZITTO anataka kuendelea kuwa CDM atoe sababu. Hii tafsiri yake nini? ZITTO hamumuwezi

... Mimi Zito Namkubali Sana, Ingawa Ana Mapungufu Kama Binadamu Yeyote Tu

Tangu mwaka 2008 mwenendo wa kisiasa wa Zitto Zuber Kabwe ulianza kutiliwa shaka na wanachama wa CHADEMA ndani na nje ya chama, Hili lilipelekea kuibuka maneno ya chini kwa chini kuwa anakisaliti chama.
Hilo liliilazimu timu ya kijasusi ya chama kuanza kufuatilia nyendo zake kwa ukaribu zaidi usiku na mchana ili kujiridhisha pasipo kuacha chembe ya mashaka. Ifahamike kuwa chama kina idara ya ulinzi na usalama wa chama na viongozi wake yenye uwezo wa kufuatilia nyendo za majasusi wa nje na viongozi na wanachama wake popote walipo kwa masaa 24. Baada ya kujiridhisha kuwa mwenendo wake ni wa mashaka, bila kusita timu ya ujasusi ilianza kazi rasmi ya ujasusi dhidi ya nyendo zote za Zitto Zuberi Kabwe
 
Siasa bwana!! Umaarufu wote ule wa Zito leo anaonekana kimba! "Politics is harder than physics- Albert Einstein.
Uzi unaomuhusu Zito ulikuwa uzi kweli kweli hapa jf.
 
Ahahaha! Labda kwa sababu anajua uchaguzi huu unaopo watamalizana wenyewe.

mkuu Mkandara unaandika kwa hofu sana,hii hujuma dhidi ya taifa,kwa GT kama wewe uliyosoma na kuona kwa picha uhuni wa Zito?!inantia mashaka,au ni mnufaikaji
 
Hizi Nazo ni siasa. Nazo zina Mwisho pia. Uovu nao una Mwisho chini ya jua
 
zito ndio ameshikilia uhai wa chadema, bila zito chadema ingekuwa imekufa siku nyingi sana, hata mtei anafahamu
 
Umejikanyaga wee lakini mwishoe unasema kama ZITTO anataka kuendelea kuwa CDM atoe sababu. Hii tafsiri yake nini? ZITTO hamumuwezi

ww unaongea nini ZZK hata kwao Kigoma hawamtaki kwa sababu ya usaliti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom