Zitto nakupa wiki moja uondoke CHADEMA

Zitto nakupa wiki moja uondoke CHADEMA

ZZK hana hadhi hata ya kuitwa Mbunge wa Chadema kwa mgongo wa Mahakama..

Hatumtaki muhuni ndani ya Chama chetu CDM....Aende kwenye Genge la wahuni wenzake ACT.
 
Naunga mkono hoja..Huyu kupe lazima ajiondoe mapemaa...Ni laana kwa nchi na Chama chetu Pendwa CDM...
 
Zitto ana watesa sana hadi mnachanganyikiwa! Si mlisema swala lake mmeshalimaliza na mmemfukuza? Kinacho wahangaisha ni mini?
Wewe mchokoze na unajua akiongea watakao pata madhara zaidi ni Slaa na Mbowe!
Zitto ni mtu makini sana na ana akili kuwazidi viongozi wote wa chadema hivyo hawezi kujibishana nanyie tena!
 
Asulubiwee!!zitto ondoka hatukutaki mvurugaji mkubwa wewe..nenda.
 
Zitto ana watesa sana hadi mnachanganyikiwa! Si mlisema swala lake mmeshalimaliza na mmemfukuza? Kinacho wahangaisha ni mini?
Wewe mchokoze na unajua akiongea watakao pata madhara zaidi ni Slaa na Mbowe!
Zitto ni mtu makini sana na ana akili kuwazidi viongozi wote wa chadema hivyo hawezi kujibishana nanyie tena!

mkuu hurudii tena zile hadithi zako za mfukuzeni muone?
 
"Nimebahatika kuwa kiongozi
mwandamizi katika chama kimojawapo kikuu
cha siasa nchini" Zitto Kabwe 2114. kwa kauli hii mbona ameshajitoa CHADEMA
 
''mtoto wa mwalugwadu yule mzee maarufu kwa kuvua ngadu''

........SITAKI DEMUU
 
Zitto ana watesa sana hadi mnachanganyikiwa! Si mlisema swala lake mmeshalimaliza na mmemfukuza? Kinacho wahangaisha ni mini?
Wewe mchokoze na unajua akiongea watakao pata madhara zaidi ni Slaa na Mbowe!
Zitto ni mtu makini sana na ana akili kuwazidi viongozi wote wa chadema hivyo hawezi kujibishana nanyie tena!

Hahahaha....Zitto yupi huyo anayeitesa CDM...?

Au unamuongelea Zitto huyu ambaye hana mvuto hata kwa watoto wadogo....Zitto huyu hata akiongea Bungeni anaonekana takataka mbele za watu...?
 
Sidhani kama watu wanaoitakia heri CHADEMA watawaunga mkono,Zitto bado ana ushawishi,Zitto bado anafuatiliwa na kusikilizwa na sehemu kubwa ya Watanzania.Ni afadhali Zitto aamue kuondoka mwenyewe kwa mapenzi yake kuliko kuondoka kwa staili hii mnayoipendekeza maana atakapoamua kufa na wenzie Chama ndicho kitakachopoteza na siyo akina Mbowe wala Zitto.Zitto ana siri nyingi za Chama,mbaya na nzuri na atakapoamua kuzianika zile siri zenye madhira kwa Chama....Tusije kujikuta tunasema "it's too late...or we wish we couldn't treat him this way our party would have never been like this".
 
Acheni hasira kwani hasira kamwe haitendi haki. ZZK ni garasha tu, keshalambwa na ACT lililo tawi la CCM. Sasa, mkianza kelele atadhani kuwa tulipungukiwa alipo toka. Anajifanya kuwa alibaki bungeni BMK ili kutetea wananchi, huo ni uongo wa kupindukia, mwacheni aendelee kukaa CDM. Tumesha mdharau, tumesha mtupa kuleeee. Akae na ubunge wake wa mahakama, mwisho tuone. Kigoma tutasimamisha mwenye kiu ya kuitetea na kupita atapita saana tu
 
Hivi zito na vituko vyake vyote alivyovifanya chadema hana aibu kuendelea kuwa mwachama
 
Msaliti zitto ni mshenzi tu
tumdharau km wasomi wengine waliofcha elimu yao mfukoni na kutanguliza matumbo mbele
 
Ana madhara gani yeye kuendelea kuwa CHADEMA kama kweli hamumuhofii

Unamaanisha aachwe cdm huku akifanya kazi za ccm? Ana bahati hajafika mikoa ya wanaume,tungemshughurikia huyo kibaraka wenu,pambfu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom