Zitto Naibu katibu Mkuu hata vikao vya chama anaadimika?

kwa mtoa hoja hii .ukileta habari kamilisha .kama Zito hajahudhuria cc .je yupo wapi ??? .alafu ndio tiririka ,maana kidogo unatupa wasiwasi .usikute unafanya inside job kwa niaba ya .unajua mwenyewe

Mwendelezo wa Zitto Kabwe kukosekana kwa baadhi ya mikutano ambayo wenzake hupata misukosuko si huu uliokuwa Iringa juzi tu, ila mikutano mingi tangu kumalizika kwa uchaguzi Mwakajana. Hata kabla hajaanza safari ya huko aliko na mheshimiwa Anne makinda, wenzake walipokuwa kwenye mwamsho kule Morogoro, yeye aliamua kupanda pipa na Kikwete kwenda Addis Ababa. Kwake Kwenda Ethiopia ambako serikali ilikuwa na uwakilishi wa kutosha ilikuwa ni kisingizio tosha kukwepa uwajibikaji wa pamoja kule Morogoro.
 
Unajua chuki, majungu na unafiki vimekujaa hadi hueleweki unachokisema. Tulia wewe.

Tujadili hoja, hapa nilisema Zitto anakwepa kwenye matatizo na kuwe mwepesi kuhudhuria akisoma kama hakutatokea matatizo, ndipo nikahitimisha kwamba Zitto si kiongozi shupavu kutosha kwa vile anachagu mteremko kuliko kupanda mlima, kwani kiongozi bora anatakiwa awe tayari kwa yote na kwa lolote.

Hapa naleta moja ya nukuru yake aliyoijibu huko
Twitter


9 Sep Zitto Zuberi Kabwe ‏@zittokabwe
@MohamediMtoi hapana. Sitaki kusema chochote. Ninachosema ni kuwa 1) those who risked 2) those free riders (in public finance)....

Tamko hilo la Zitto unalielewaje? Nilishasema ni mwepesi sana kukwepa penye matatizo, na hapa amehitimisha kwa kauli hiyo, ina maana gani?
 

Tujadili hoja, hapa nilisema Zitto anakwepa kwenye matatizo na kuwe mwepesi kuhudhuria akisoma kama hakutatokea matatizo, ndipo nikahitimisha kwamba Zitto si kiongozi shupavu kutosha kwa vile anachagu mteremko kuliko kupanda mlima, kwani kiongozi bora anatakiwa awe tayari kwa yote na kwa lolote.

Hapa naleta moja ya nukuru yake aliyoijibu huko
Twitter




Tamko hilo la Zitto unalielewaje? Nilishasema ni mwepesi sana kukwepa penye matatizo, na hapa amehitimisha kwa kauli hiyo, ina maana gani?

Unamuuliza nani sasa? Unataka nani akusaidie kufikiri? Endelea kufikiri kwa umakini utamuelewa tu. Hakuna mteremko wowote ambao ZZK anaupenda, wewe tu na uvivu wako wa kufikiri.
Kifupi sikuelewi shida yako ni nini na sioni chochote ambacho ZZK anakikwepa hapo.
Acha kutumika mkuu, au ndio wale wenye payrole Bills?.
 
Zitto unafiki wake haufikichiki na kila kiongozi chamani anamjua. yuko tofauti na viongozi wote hapo pichani. Ni kama chagulani wa mwanza, kiama chake kinakaribia

Acha uchonganishi wewe....Zitto ni kijana mchapa kazi, na bado anaipenda CDM.
 
Kusema kweli inachosha kusikia watu ambao hawana uzito au uhusiano wowote na CDM, kuendelea kumwandama Zitto. Ikiwa wana uzito huo, kwa nini hawatoi malalamiko yao kwenye vikoe vya CDM?

Kwanza sisi ni nani wa kumhukumu? Kwa nini wale wanaopaswa kulisemea hili, wenye maamuzi hawatoi uamuzi ama wa kumuonya au kumtimua?

Tuacheni chokochoko, tusijadili watu tujadili maendeleo.
 
ata asipo kuwepo mapadiliko yataletwa kwa nguvu ya umma chadema ni kchocheo2...
 
Unamuuliza nani sasa? Unataka nani akusaidie kufikiri? Endelea kufikiri kwa umakini utamuelewa tu. Hakuna mteremko wowote ambao ZZK anaupenda, wewe tu na uvivu wako wa kufikiri.
Kifupi sikuelewi shida yako ni nini na sioni chochote ambacho ZZK anakikwepa hapo.
Acha kutumika mkuu, au ndio wale wenye payrole Bills?.

Nakupa pole Chilli, hujavutiwa na hoja niliyoanzisha, hakuna sababu ya kukuumiza kichwa hadi kutoa lugha ambayo ni ya hisia kwa mtu usiye mjua. Educated people wanajua kuwa kukosoana ndio kuelimishana na kujengana, ndicho tunachokifanya. Pamoja na kuvutiwa na mtu fulani, mapenzi ya kweli yawe ya kumsaidia kuliko kushabikia kama timu ya mpira hata lifungwe goli la mkono na kukataliwa na refa tunaona kama tumeonewa.

Wengine tuna hulka ya kuwajenga viongozi, uwajibikaji wa kukosoana ndio kujengana, lakini kasoro tunapoamua kuzifunikafunika, matokeo ndio haya leo tunalaumiana na kila mmoja kujiona kama angekuwa magogoni angekuwa bora, kumbe......

Tunahitaji vijana na watanzania ambao wako makini katika kuijenga nchi yetu kwa njia mbalimbali pamoja na kuwaandaa viongozi kuwa watendaji wazuri. Hatupendi kama ikitokea chama cha upinzani kinashika dola halafu yatokee ya kutimuana kama yanavyojilia kule Mwanza wiki hii na Arusha miezi michache iliyopita, hii ni kwa sababu ya kutokuwa makini na kusahihishana kabla ya mambo kuharibika na mwishoni kushusha tuhuma za kunyosheana vidole na kufukuzana.

Zitto anabahati sana kuwa na wengi wanaompa moyo wa kufanya mazuri na kuonyesha madhaifu yake ili ajengeke vizuri,utaratibu huo ndio tunaoutegemea hata vyombo vya habari vijenge dhamira ya kushauri, kukosoa na kupongeza inapowezakana ili kuwajenga watawala badala ya kuwapamba tu au kuegemea upande kwa kuonyehsa upande mmoja wa sarafu.

Kwangu ninachokifanya nina uzoefu nacho kutosha, ndio maana napenda kushirikisha. Nimeshafanya hayo kwa wengi hata Dr. Slaa nimeshawahi kupambana naye hapa JF, na wengineo. Nikishaona dalili ya udhaifu niko very open kukosoa kwa lengo la kujenga, ndilo tunalotaka wengi tuungane kuwajenga viongozi wetu.

Chadema wamepiga hatua kubwa sana tangu kipindi cha Uchaguzi uliopita, kwa sasa hata wakishika nchi kuna ukomavu wa kiwango katika masuala ya uongozi kuliko kipindi kile cha Uchaguzi. Hata hivyo kuna bado kazi ya kuwaandaa viongozi kuwa tayari kukosolewa na itokeapo wachukue hatua kujisahihisha kwa manufaa ya kuwa viongozi bora tunaowatazamia. Kuongoza nchi si lelemama, rahisi kumnyoshea kidole mwaingine, lakini ukishashika usukani huchukua muda kuwa kwenye mstari kama ilivyotokea kwa nchi kadhaa mfano ikiwa Kenya. Tuna mengi ya kujifunza toka kwao.

 
Niliwahi ona video sehemu katika simu ya mtu..Gesture yake jukwaani wakati Mr II a kiperfom pale Arumeru katika kampeni za Nassari haikuwa nzuri.Hasa pale watu walipokuwa wamshangilia sana mh II wakija jukwaani kuwashika mikono makamanda.Zitto alionyesha dharau n akutokubaliana na hali ile ya kukubalika kwa Mr. II.Zitto alikuwa dettached sana na watu emotionally,hata yeye mwenyewe akiangalia video yake kama CDM wanazo ataona hili.

Ilikuwa hali ya kuhofia kuwa siyo pekee tena katika CDM+ ilikuwa hali kama vile wale watu si waelewa sana na zile shamrashamra na hisia ni za kipuuzi na si worth it.

Mheshimiwa usihofu kwani mimi ndivyo nilivyo nisione kitu.Kwani mara nyingi attention yangu kwa vitu vidogo ipo karibu sana.Ni mheshimiwa tuu akaangalie vizuri video za mikutano ya pale user river.Niliona hofu kama ya mtoto anayokuwa nayo anapozaliwa mdogo wake.Hii nilikuja thibitisha bunge lilipoanza Zitto alikuwa naive sana kuuliza maswali ya nyongeza kabla ya kuja stabilize baadaye.
 
Unamuuliza nani sasa? Unataka nani akusaidie kufikiri? Endelea kufikiri kwa umakini utamuelewa tu. Hakuna mteremko wowote ambao ZZK anaupenda, wewe tu na uvivu wako wa kufikiri.
Kifupi sikuelewi shida yako ni nini na sioni chochote ambacho ZZK anakikwepa hapo.
Acha kutumika mkuu, au ndio wale wenye payrole Bills?.

Nakupa pole Chilli, hujavutiwa na hoja niliyoanzisha, hakuna sababu ya kukuumiza kichwa hadi kutoa lugha ambayo ni ya hisia kwa mtu usiye mjua. Educated people wanajua kuwa kukosoana ndio kuelimishana na kujengana, ndicho tunachokifanya. Pamoja na kuvutiwa na mtu fulani, mapenzi ya kweli yawe ya kumsaidia kuliko kushabikia kama timu ya mpira hata lifungwe goli la mkono na kukataliwa na refa tunaona kama tumeonewa.

Wengine tuna hulka ya kuwajenga viongozi, uwajibikaji wa kukosoana ndio kujengana, lakini kasoro tunapoamua kuzifunikafunika, matokeo ndio haya leo tunalaumiana na kila mmoja kujiona kama angekuwa magogoni angekuwa bora, kumbe......

Tunahitaji vijana na watanzania ambao wako makini katika kuijenga nchi yetu kwa njia mbalimbali pamoja na kuwaandaa viongozi kuwa watendaji wazuri. Hatupendi kama ikitokea chama cha upinzani kinashika dola halafu yatokee ya kutimuana kama yanavyojilia kule Mwanza wiki hii na Arusha miezi michache iliyopita, hii ni kwa sababu ya kutokuwa makini na kusahihishana kabla ya mambo kuharibika na mwishoni kushusha tuhuma za kunyosheana vidole na kufukuzana.

Zitto anabahati sana kuwa na wengi wanaompa moyo wa kufanya mazuri na kuonyesha madhaifu yake ili ajengeke vizuri,utaratibu huo ndio tunaoutegemea hata vyombo vya habari vijenge dhamira ya kushauri, kukosoa na kupongeza inapowezakana ili kuwajenga watawala badala ya kuwapamba tu au kuegemea upande kwa kuonyehsa upande mmoja wa sarafu.

Kwangu ninachokifanya nina uzoefu nacho kutosha, ndio maana napenda kushirikisha. Nimeshafanya hayo kwa wengi hata Dr. Slaa nimeshawahi kupambana naye hapa JF, na wengineo. Nikishaona dalili ya udhaifu niko very open kukosoa kwa lengo la kujenga, ndilo tunalotaka wengi tuungane kuwajenga viongozi wetu.

Chadema wamepiga hatua kubwa sana tangu kipindi cha Uchaguzi uliopita, kwa sasa hata wakishika nchi kuna ukomavu wa kiwango katika masuala ya uongozi kuliko kipindi kile cha Uchaguzi. Hata hivyo kuna bado kazi ya kuwaandaa viongozi kuwa tayari kukosolewa na itokeapo wachukue hatua kujisahihisha kwa manufaa ya kuwa viongozi bora tunaowatazamia. Kuongoza nchi si lelemama, rahisi kumnyoshea kidole mwaingine, lakini ukishashika usukani huchukua muda kuwa kwenye mstari kama ilivyotokea kwa nchi kadhaa mfano ikiwa Kenya. Tuna mengi ya kujifunza toka kwao.

yuuuh huuuh......JF kuna wakwepaji wengi eeh.Candid Scope una shida kama yangu .huwa pua zangu zinanusa sana watu hao..Halafu napata kichefuchefu sana kama ndio watu ambao naweza kuja fikiria jinsi ya kuwapa kura zangu au hata kupotosha.

Ni hayo tuu.
 
Unamuuliza nani sasa? Unataka nani akusaidie kufikiri? Endelea kufikiri kwa umakini utamuelewa tu. Hakuna mteremko wowote ambao ZZK anaupenda, wewe tu na uvivu wako wa kufikiri.
Kifupi sikuelewi shida yako ni nini na sioni chochote ambacho ZZK anakikwepa hapo.
Acha kutumika mkuu, au ndio wale wenye payrole Bills?.

Nakupa pole Chilli, hujavutiwa na hoja niliyoanzisha, hakuna sababu ya kukuumiza kichwa hadi kutoa lugha ambayo ni ya hisia kwa mtu usiye mjua. Educated people wanajua kuwa kukosoana ndio kuelimishana na kujengana, ndicho tunachokifanya. Pamoja na kuvutiwa na mtu fulani, mapenzi ya kweli yawe ya kumsaidia kuliko kushabikia kama timu ya mpira hata lifungwe goli la mkono na kukataliwa na refa tunaona kama tumeonewa.

Wengine tuna hulka ya kuwajenga viongozi, uwajibikaji wa kukosoana ndio kujengana, lakini kasoro tunapoamua kuzifunikafunika, matokeo ndio haya leo tunalaumiana na kila mmoja kujiona kama angekuwa magogoni angekuwa bora, kumbe......

Tunahitaji vijana na watanzania ambao wako makini katika kuijenga nchi yetu kwa njia mbalimbali pamoja na kuwaandaa viongozi kuwa watendaji wazuri. Hatupendi kama ikitokea chama cha upinzani kinashika dola halafu yatokee ya kutimuana kama yanavyojilia kule Mwanza wiki hii na Arusha miezi michache iliyopita, hii ni kwa sababu ya kutokuwa makini na kusahihishana kabla ya mambo kuharibika na mwishoni kushusha tuhuma za kunyosheana vidole na kufukuzana.

Zitto anabahati sana kuwa na wengi wanaompa moyo wa kufanya mazuri na kuonyesha madhaifu yake ili ajengeke vizuri,utaratibu huo ndio tunaoutegemea hata vyombo vya habari vijenge dhamira ya kushauri, kukosoa na kupongeza inapowezakana ili kuwajenga watawala badala ya kuwapamba tu au kuegemea upande kwa kuonyehsa upande mmoja wa sarafu.

Kwangu ninachokifanya nina uzoefu nacho kutosha, ndio maana napenda kushirikisha. Nimeshafanya hayo kwa wengi hata Dr. Slaa nimeshawahi kupambana naye hapa JF, na wengineo. Nikishaona dalili ya udhaifu niko very open kukosoa kwa lengo la kujenga, ndilo tunalotaka wengi tuungane kuwajenga viongozi wetu.

Chadema wamepiga hatua kubwa sana tangu kipindi cha Uchaguzi uliopita, kwa sasa hata wakishika nchi kuna ukomavu wa kiwango katika masuala ya uongozi kuliko kipindi kile cha Uchaguzi. Hata hivyo kuna bado kazi ya kuwaandaa viongozi kuwa tayari kukosolewa na itokeapo wachukue hatua kujisahihisha kwa manufaa ya kuwa viongozi bora tunaowatazamia. Kuongoza nchi si lelemama, rahisi kumnyoshea kidole mwaingine, lakini ukishashika usukani huchukua muda kuwa kwenye mstari kama ilivyotokea kwa nchi kadhaa mfano ikiwa Kenya. Tuna mengi ya kujifunza toka kwao.

yuuuh huuuh......JF kuna wakwepaji wengi eeh.Candid Scope una shida kama yangu .huwa pua zangu zinanusa sana watu hao..Halafu napata kichefuchefu sana kama ndio watu ambao naweza kuja fikiria jinsi ya kuwapa kura zangu au hata wakiwa na nia ya kupotosha.Halfu wote ni wakali,haalu wote ....

Ni hayo tuu.
 
Zittttto ni msaidizi wa JK asiye rasmi na anafanya kama dewakaili kubomoa cdm atakuwa raisi chama adc kama mgombe na filikukombe
 
Nakumbuka miaka ya nyuma,kwenye ile issue ya Zimbabwe alipokuwa akissugest tusaidie kumwondoa Mugabe,nilimwambia awaonee huruma wananchi masikini wa Kigoma kaskazini.Sidhani kama walimchaguwa afanye hayo anayoyafanya.Ni kama anawatumia kama ngazi.Ndo maana alitaka sijui kugombea jimbo gani vile?Najuwa wabunge wengi wana agenda nyingine binafsi nk.However si haki kabisa kuwasahau wapiga kura wako na majukumu yako kwa jimbo lako kwasababu ya personal interests zako.Ubinafsi haufai kwenye kuwatumikia wananchi.Its not about the people no more.
 
Kama mmoja wa wahusika katika meza kuu hayupo, kiti hakiwezi kubaki kitupu, kuna mmoja ataitwa kuja kiti kutokana na heshima yake aliyojijengea katika chama.

Wakumbuka maneno haya katika misahafu kwa lugha ya kilatini: "amice ascente superio" tafsiri yake (unapoalikwa usikae kiti cha mbele arusini hadi mwenye kukaribisha wageni atakapokuambia, rafiki yangu njo huku mbele zaidi, ndipo utakapokuwa na heshima mbele ya watu).
Kwa hiyo mkaona busara mumualike muhindi kuchukua nafasi ya Zitto?
 
Zitto si naibu katibu mkuu hiyo ni nafasi ya Mnyika CDM walishamvua zamani hawajatangaza tu.
 
Wapendwa napenda kwanza kumshukuru Mungu kwa kuwepo hapa. Sioni sababu zozote zile zenye mashiko kwa Mh .Zitto kukacha vikao vya kamati kuu, ni takribani muda sasa umepita lakini huyu kiongozi wetu heeleweki!? ikumbukwe kuwa wakati anatoa nia ya kugombea Uraisi chama kilikuwa kipo kwenye campeni ya kumwingiza Mh Nasari bungeni sasa kwa watu wanaojua kupima na kudadasua ! hivi kweli ndo Raisi tunaye mtaka? Badilika Mh.Zitto, tuliweka iman kwako sasa inapotea.
 
Zitto ni mzigo chadema...ana tamaa ndio maana haishi kujipendekeze kwa Kikwete,haiwezekani mwenye majukum ni yeye tu
 
Back
Top Bottom