Zitto: Msomeni Putin mtajifunza mengi yanayoendelea nchini

Zitto: Msomeni Putin mtajifunza mengi yanayoendelea nchini

Putin aliingia kwenye madaraka mpweke akiwa hana kundi lake. Duma ( Bunge) lilijaa watu ambao hawakumwunga mkono na Warasimu wote walikuwa hawana uhusiano naye. Siasa zilikuwa zimeshikwa na matajiri ( oligarchs) na kuamua watakacho. Alisimika utawala wake kwa kuchukua hatua kadhaa ikiwemo;

- aliteua watu wake wa karibu aliofanya nao Kazi huko St. Petersburg, pia watu aliotoka nao eneo moja na alioamini nao Dini moja.

- Alihakikisha Matajiri wote wanashughulikiwa na kuwafunga au kuhama Nchi. Yeyote ambaye alimtilia mashaka alimtoa Serikalini au kwenye Mashirika ya Umma hata ikibidi kwa tuhuma za kutungwa na wengine WALIPOTEZWA kabisa

- Aliwapa fursa za utajiri watu wake wa karibu na kujenga ' new oligarchs ' kupitia zabuni za Serikali na Miradi mikubwa mikubwa ya Miundombinu aliyoanzisha kwa haraka alipoingia madarakani

Alifanya haya kuimarisha UTAWALA wake. Msomeni Putin mpanue maarifa
Zitto kaka yangu Mpendwa unamwelewa vena Puttin alivyopanda mpaka kuwa boss wanchi kubwa duniani au pia nikukumbushe Russia hakuna siasa za kwetu kbsa.Tanzania ingekuwa Russia sizani kama ungekuwepo salama ndugu yangu mpendwa,Russia wapo hatua nyingine kbsa na sisi tupo kundi jingine
 
Putin aliingia kwenye madaraka mpweke akiwa hana kundi lake. Duma ( Bunge) lilijaa watu ambao hawakumwunga mkono na Warasimu wote walikuwa hawana uhusiano naye. Siasa zilikuwa zimeshikwa na matajiri ( oligarchs) na kuamua watakacho. Alisimika utawala wake kwa kuchukua hatua kadhaa ikiwemo;

- aliteua watu wake wa karibu aliofanya nao Kazi huko St. Petersburg, pia watu aliotoka nao eneo moja na alioamini nao Dini moja.

- Alihakikisha Matajiri wote wanashughulikiwa na kuwafunga au kuhama Nchi. Yeyote ambaye alimtilia mashaka alimtoa Serikalini au kwenye Mashirika ya Umma hata ikibidi kwa tuhuma za kutungwa na wengine WALIPOTEZWA kabisa

- Aliwapa fursa za utajiri watu wake wa karibu na kujenga ' new oligarchs ' kupitia zabuni za Serikali na Miradi mikubwa mikubwa ya Miundombinu aliyoanzisha kwa haraka alipoingia madarakani

Alifanya haya kuimarisha UTAWALA wake. Msomeni Putin mpanue maarifa
Rais yoyote hawezi kufanya kazi na watu asiwaamini,ndio maana hata Mulla zitto aliwapa vyeo kuna mchange na na yule mwigamba kwa sababu anawajua toka chadema
Hivi leo Magufuli amteue Tundu Lissu kuwa AG,kazi zitakwenda kweli?
 
Zitto kaka yangu Mpendwa unamwelewa vena Puttin alivyopanda mpaka kuwa boss wanchi kubwa duniani au pia nikukumbushe Russia hakuna siasa za kwetu kbsa.Tanzania ingekuwa Russia sizani kama ungekuwepo salama ndugu yangu mpendwa,Russia wapo hatua nyingine kbsa na sisi tupo kundi jingine
Russia siasa zao ni chafuchafu, za kivisasi, kirafiki na kindugu kama zetu tu.
 
Zitto amebakia kuwa mchochezi tu. Ile taarifa yake kuwa ukituma 1000 kwa njia ya mtandao serikali inachukua 280 imeishia wapi. Uchochezi kama huo hautakiwi kabisa. Sasa inamaana kwenye taarifa yake Mhesh Rais anataka kujenga himaya yake kwa vipi. Anachokifanya anawaondoa wabovu waliotuibia muda mrefu na kuwaweka waadilifu, wenye weledi mkubwa na watakaokuwa tayari kushirikiana na wengine ktk kufanya kazi. Waone kama Waziri wa elimu, waziri wa uchukuzi, waziri wa nishati na madini na wengineo mbali ya elimu zao kuwa kubwa ni wachapa kazi. Magufuli hawachukii wafanya biashara , kama utakumbuka alikaa nao na kuwataka walipe kodi tu ndio ombi lake kwao. Umesikia mfanya biashara amekamatwa kwa amri yake. Acha uchochezi, kilichobakia nenda kwenye jimbo lako kawaendeleze watu wako 2020 sio mbali, usipoangalia tutakukaribisha huku uswahili kwetu tunakoishi na kibaya zaidi wakati huo utakuwa huna mahali pa kusemea.
 
Tusome kitabu cha nani tuijue kinachoendelea ACT kwa sasa?
===
Putin kaiua Russia ama kaiinua Russia na watu wote waadilifu?
Zitto alitakiwa ajabu swali hili pia mwishoni mwa maelezo yake.
 
Zitto anatahadharisha kitu ila kwa wanaoona mbali ndio wanaona hilo, Putin aliingia kwa bahati na akajenga himaya yake imara badala ya kujenga taasisi imara ndio maana leo anaifanya Urusi anavyotaka, neno kama ningekuwa mwenyekiti ningefukuza karibia wote,kila mwajiriwa wa serekali lazima aikubali na ajue kiongozi yeyote wa chama ni bosi wake, ni neno linaloashiria tabia za putin na kujenga himaya ya mtu mmoja badala ya taasisi ni vyema sasa vyama vyote vya siasa vilazimishe serekali kujitenga na jeshi na chama chochote kitakachoshika madaraka, bali wafanye kazi zao kwa taaluma, na ili kiongozi yeyote asiwe na sauti kuliko taasisi bila hivyo, sio ajabu tukaona katiba zinabadilishwa ili waendelee kukaa madarakani ili walinde maslahi yao,rafiki zao na watoto wao. hilo ndio jicho la Zitto limeona na kuna ukweli ndani yake kwa jicho la mbali.
Hili nalo litapita
 
Sioni kama kuna jipya hapo. Ukiwa na ufahamu hata kidogo tu, huwezi kulinganisha Tanzania na Urus. Urus ya Vladimir Putin tunayemzungumzia sasa ni rais ambaye nchi yake kiuchumi na kiulinzi. Sasa mfano huu unatuhusu nini sisi watanzania?
 
Zitto zito you're politically finished you will never rise again!!
 
Zitto mnafik sana

Ana siasa za chuki na ubinafs

Zitto amependelewa sana na kikwete

Sisi tunapigwa nabomu yeye anatukebehi kupitia twita

Magufuli hastahil kukosolewa na zitto, akosolewe na kina kubenea na kina mnyika
, mdee, lissu nk
Maana ndio wanajua chungu tamu ya siasa za upinzan

Zitto ni mpinzan kwenye maslah yake tu

Baada ya mfadhili wake dr. dau kuondolewa wadhifa wake yupo km kachanganyikiwa

Poor zito
Nillikwambia mwisho wa usalit ni aibu

Bitter days are coming
 
Naomba mniwie radhi nikikosea.

Zitto Z. Kabwe alichokifanya ni "one side book critique"

Kuna kitu kinaitwa "book critique" ikiwa na maana ya kusoma makala ama kitabu kisha unachambua mapungufu na mafanikio
(strength and weakness). Kwa hilo andiko
LA Z.Z.K naona kapapasa upande mmoja wa udhaifu (weakness) na kujitoa ufaham
kuhusu mafanikio ya putin. Putin katika kitabu chake yako mafanikio mengi saaana kuliko madhaifu yake kama asemavyo mheshimiwa. Nazidi kuwa na wasiwasi wa mheshimiwa huyo ya kwamba hicho kitabu hakukisoma huenda kaadisiwa tu na mbulula Fulani. Kama kweli kakisoma aandike na mafanikio yaliyomo humo.
 
Putin aliingia kwenye madaraka mpweke akiwa hana kundi lake. Duma ( Bunge) lilijaa watu ambao hawakumwunga mkono na Warasimu wote walikuwa hawana uhusiano naye. Siasa zilikuwa zimeshikwa na matajiri ( oligarchs) na kuamua watakacho. Alisimika utawala wake kwa kuchukua hatua kadhaa ikiwemo;

- aliteua watu wake wa karibu aliofanya nao Kazi huko St. Petersburg, pia watu aliotoka nao eneo moja na alioamini nao Dini moja.

- Alihakikisha Matajiri wote wanashughulikiwa na kuwafunga au kuhama Nchi. Yeyote ambaye alimtilia mashaka alimtoa Serikalini au kwenye Mashirika ya Umma hata ikibidi kwa tuhuma za kutungwa na wengine WALIPOTEZWA kabisa

- Aliwapa fursa za utajiri watu wake wa karibu na kujenga ' new oligarchs ' kupitia zabuni za Serikali na Miradi mikubwa mikubwa ya Miundombinu aliyoanzisha kwa haraka alipoingia madarakani

Alifanya haya kuimarisha UTAWALA wake. Msomeni Putin mpanue maarifa
Ndugu yangu Zitto hivi hata fungate umemaliza kweli? Huu ulikuwa wakati muafaka wa kutulia na mkeo na kuhakikisha ana nasa mimba mapema.

Hivi ni wapi na ni lini mtu akateua watu asiyo wafahamu vyema na wasio waupande wake? Magufuli hapambani na matajiri bali anapambana na wezi na mafisadi tuu tena kwa kutumia sheria zilizopo.

Kama kuna tajiri anataka kuhama nchi basi ana hama kwakuwa kahamua kabisa wala si sababu ya mtu fulani.. Hatuwezi kuacha wakwepa kodi na wezi wanatamba eti kisa tunaogopa watahama nchi.. Hahahaha wahame kabisa!

Hahahaha Zitto ni wewe ulikuwa mpinga ufusadi na mpigania haki? Leo umekuwa mpigania matajiri?
 
Zitto anatahadharisha kitu ila kwa wanaoona mbali ndio wanaona hilo, Putin aliingia kwa bahati na akajenga himaya yake imara badala ya kujenga taasisi imara ndio maana leo anaifanya Urusi anavyotaka, neno kama ningekuwa mwenyekiti ningefukuza karibia wote,kila mwajiriwa wa serekali lazima aikubali na ajue kiongozi yeyote wa chama ni bosi wake, ni neno linaloashiria tabia za putin na kujenga himaya ya mtu mmoja badala ya taasisi ni vyema sasa vyama vyote vya siasa vilazimishe serekali kujitenga na jeshi na chama chochote kitakachoshika madaraka, bali wafanye kazi zao kwa taaluma, na ili kiongozi yeyote asiwe na sauti kuliko taasisi bila hivyo, sio ajabu tukaona katiba zinabadilishwa ili waendelee kukaa madarakani ili walinde maslahi yao,rafiki zao na watoto wao. hilo ndio jicho la Zitto limeona na kuna ukweli ndani yake kwa jicho la mbali.
Sasa hayo maneno uliyo yatolea mfano mbona yanathibitisha magufuli kukijenga chama zaidi kuliko yeye mwenyewe?

Mwaka huu mtaandika makala hadi basi.
 
Tatizo la Ukawa ni kua wanataka wateuliwe wao hizo nafasi, jambo ambalo haliwezi tokea...
 
Zitto kaka yangu Mpendwa unamwelewa vena Puttin alivyopanda mpaka kuwa boss wanchi kubwa duniani au pia nikukumbushe Russia hakuna siasa za kwetu kbsa.Tanzania ingekuwa Russia sizani kama ungekuwepo salama ndugu yangu mpendwa,Russia wapo hatua nyingine kbsa na sisi tupo kundi jingine
Sijui kama hata angepata uhuru wakuandika haya anayo yaandika!
 
Zitto anatahadharisha kitu ila kwa wanaoona mbali ndio wanaona hilo, Putin aliingia kwa bahati na akajenga himaya yake imara badala ya kujenga taasisi imara ndio maana leo anaifanya Urusi anavyotaka, neno kama ningekuwa mwenyekiti ningefukuza karibia wote,kila mwajiriwa wa serekali lazima aikubali na ajue kiongozi yeyote wa chama ni bosi wake, ni neno linaloashiria tabia za putin na kujenga himaya ya mtu mmoja badala ya taasisi ni vyema sasa vyama vyote vya siasa vilazimishe serekali kujitenga na jeshi na chama chochote kitakachoshika madaraka, bali wafanye kazi zao kwa taaluma, na ili kiongozi yeyote asiwe na sauti kuliko taasisi bila hivyo, sio ajabu tukaona katiba zinabadilishwa ili waendelee kukaa madarakani ili walinde maslahi yao,rafiki zao na watoto wao. hilo ndio jicho la Zitto limeona na kuna ukweli ndani yake kwa jicho la mbali.


Unaumwa??
Serikali ijitenge na jeshi???

Hili zoezi la kuhakiki vyeti liendelee kwa nguvu sana!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom