MCHONGANISHI
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 372
- 364
hivi hii midahalo inatusaidia nini sisi ambao tunaathirika na danadana za umeme? hata wahusika kama katibu wa wizara na hata msemaji wa tanesco kuliko hawa ''vijana'' ambao wanatafuta umaarufu kwenye shida za watu????? they cant be serious wanasiasa? hawa watatusaidia nini? kama ni mdahalo ufanyike kati ya wataalam na wananchi naona wote wanajikanyagakanyaga wanatajanatajana ...... eti naomba nindelee pale alipoishia mwenzangu........... wanapokezana kwani hii ngonjera, wasitupumbaze tunataka umeme blah! blah! za wanasiasa. naona ''vijana'' wamekuwa walimu wa historia ya umeme hawatupi solution ooh sijui watu wamezungumza tupen fact damn it??!! *'&@*&!