Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,444
- 25,591
R.I.P ccm.
Hahaaaaa gombe stream national park!! Khaaaa
Wilaya ya Bunda ina majimbo mawili; Bunda na Mwibara.Hivi Bunda inawabunge wawili pamoja na stephen Wassira??!!!!!!!
Alinifurahisha aliposema mara alipoitwa na waziri mkuu aliamua kuweka sahihi kabisa kabla ya kwenda ili asije badilishwa mawazo, dah huyu jamaa kweli alidhamilia.N alisema aliweka sisi yeye ila wannchi wa Ludewa waliyomtuma
Nimeipenda hiyo picha Zitto na Filikunjombe kwani inazungumza mengi. You can tell from Hon. Filikunjombe's body language that he is fed up and is ready for whatever might ensue. We need people like Filikunjombe who have the audacity to call it like they see it.
Hakuna cha taifa mbele wala nyuma wote hao ni wanafiki tu including Januari.Leo nimejua kwamba Mwakyembe, Samweli Sita, Anna Kilango Malecela na Ole Sendeka ni WAHUNI NA WABABAISHAJI.
Acha woga kifo kipo tu hakikwepeki hata ushinde chumbani mwako kufa utakufa tu, mwisho utashauri watu wasivuke barabara kwa vile watagongwa na gari.Ushauri wa bure kwa Filikunjombe (Yaani viko Njombe), akija Dodoma bungeni asile wala asinywe kwa siku zote atakazokaa Dodoma. Asitumie kipaza sauti kilicho kwenye kiti chake na akiitwa kwa gamba yeyote hata dada yake sijui mama yake Anna Makinda asiende peke yake maana Kolimba alipojalibu kusema CCM haina dira hajawahi kutoka kwenye mike ile. Na hata waliokwishapata matatizo (Mhasibu wa CCM mama yule sijui Mbatia???!!!, Mwakyembe na wengine wengi wamepata madhara wakiwa kwenye barabara iendayo Njombe... ni hatari lazima ajilinde na manungayembe hayo ya kigamba so vitabu vile vya Willy Gamba (Marehemu Musiba).
Magamba, magamba
Kelele nyingiii, majasiri watano tu. naomba niwe mtu wa mwisho kuamini kwamba magamba hata yakipiga kelele sana yanamaanisha yanachokipigia kelele.
Huyu mbunge wa viti maalum toka kanda ya ziwa bila shaka ni Mh.Maria Hewa....namkubali sana kwa hoja mama huyu..
Wana Ruvuma mna Wabunge au wachumia tumbo? Hadi mnatia aibu hamna saini hata moja.Hawa Wabunge wamesahau mbolea feki, ajali zilizowaua ndugu ze2. 2jiulize juu ya manungayembe haya kisha 2chue hatua.Kaka Deo waamshe jirani zako hata kwa ndonga Dad!