Zitto kuwasilisha hoja J3 wamo wabunge watano wa CCM

Wabunge wa Chadema wanalizika na maisha wanayoishi watanzania inahuzunisha sana,
 
Wapi wakamanda wa Ufisadi kina Olesendeka, Anne Kilango, Godfrey Zambi, Samuel Sitta, Harrisson Makyembe and the like.
 
Magamba, magamba
Kelele nyingiii, majasiri watano tu. naomba niwe mtu wa mwisho kuamini kwamba magamba hata yakipiga kelele sana yanamaanisha yanachokipigia kelele.

Unafiki mtupu. Hii ina maana kwamba wote ni mtandao wa wezi tu.
 
Licha ya kuwapo kwa fununu ya mawaziri kujiuzulu lakini Zitto amesema azima ya kuwasilisha hoja yake Jumatatu iko pale pale.

"Spika hajasema kitu, wamejipanga tu hawa, sisi hatujampelekea hoja yetu tunampelekea Jumatatu kisha ataamua. Ili mradi iwe siku 14 kabla ya siku ya kutoa hoja. Wanaweweseka tu," alidai Zitto.

Hadi jana jioni sahihi 75 zikiwemo 5 za wabunge wa CCM zilikuwa zimeshapatikana.

Majina ya wabunge wa CCM waliotia sahihi ni,

1. Deo Philikunjombe wa Ludewa,
2. Ally Keissy Mohamed wa Nkasi Kaskazini,
3. Alphaxard Kange Lugola wa Jimbo la Mwibara,
4. Murtaza Ally Mangungu na
5. mbunge mmoja wa Viti Maalumu(CCM) kutoka Kanda ya Ziwa ambaye hakutaka atajwe kwa sasa.
(Maria Hewa au Ester Bulaya?)

Source: Gazeti la Mwananchi.
Nafikiri tatizo hapa ni maneno
yanayotumika! Ni notisi ndiyo inaweza kuja jtatu! Hivyo, naamini mh. Zitto Kabwe anajua fika katiba inasemaje.
Labda kwa msisitizo kwa mujibu wa ibara 53A ya katiba kinachotangulia kuletwa kwa spika ni notisi ya kusudio la kuleta hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu. Isipungue siku kumi na nne toka notisi kutolewa hoja yenyewe inaweza kuletwa.
 
Mzee mamvii nae mbona sijmwona ktk list? si alisema serikali ya Kikwete haitaki kuchukua maamuzi magumu
 
1 5. Deo H Filikuchombe- CCM
2 18. Aphaxar K Lugola- CCM
3 2. Chiku Aflah Abwao -CDM
4 6. Pauline P. Gekul-CDM
5 8. Prof.Kuliyokela Kahigi- CDM
6 9. Naomi M Kaihula – CDM
7 10. Sylvester Kasulumbayi- CDM
8 11. Raya Ibrahim Khamis - CDM
9 13. Susan L Kiwanga-CDM
10 14. Grace Kiwelu CDM
11 16. Joshua S Nassari –CDM
12 17. Tundu A Lissu- CDM
13 19. Susan A Lyimo- CDM
14 21. John Shibuda Magalle - CDM
15 23. Esther N Matiko-CDM
16 24. Joseph Mbilinyi- CDM
17 25. Freeman Mbowe- CDM
18 26. Kurudhum J. Mchuchuli – CDM
19 27. Halima Mdee-CDM
20 28. John Mnyika- CDM
21 30. Maryam S Msabaha- CDM
22 31. Peter Msingwa-CDM
23 32. Christowaja G Mtinda -CDM
24 33. Philipa G Mturano- CDM
25 34. Christina L Mughwai- CDM
26 35. Joyce Mukya – CDM
27 36. Israel Y Natse – CDM
28 37. Philemon Ndesamburo- CDM
29 39. Vincent Nyerere- CDM
30 41. Meshack J Opulukwa- CDM
31 42. Lucy Owenya- CDM
32 43.Rachel Mashishanga- CDM
33 44. Mhonga Ruhwanya – CDM
34 45. Conchesta Rwamlaza – CDM
35 47. Joseph R Selasini – CDM
36 48. David E Silinde-CDM
37 49. Rose Kamili - CDM
38 50. Cecilia Paresso- CDM
39 51. Kabwe Zuberi Zitto- CDM
40 53. Rebecca Mngodo- CDM
41 54. Sabreena Sungura -CDM
42 56. Mustapha Boay Akoonay -CDM
43 62. Mhe. Anna Marystella Mallack -CDM
44 1. Rashid Ali Abdallah -CUF
45 3. Salum Ali Mbarouk -CUF
46 4. Salum Khalfam Barwany -CUF
47 7. Asaa O Hamad-CUF
48 12. Mkiwa H. Kiwanga CUF
49 15. Kombo H Kombo CUF
50 22. Faki Haji Makame-CUF
51 38. Ahmed Juma Ngwali-CUF
52 40. Rashid Ali Omar-CUF
53 46. Moza Abedi Saidy-CUF
54 52. Magdalena Sakaya – CUF
55 55. Rukia Kassim Ahmed - CUF
56 57. Mhe. Abdallah haji Ali - CUF
57 58. Mhe.Khatibu Said Haji. - CUF
58 59. Mhe. Hamad Ali Hamad - CUF
59 60. Mhe. Riziki Omar Juma - CUF
60 61. Mhe. Haji Khatib Kai - CUF*
61 63. Mhe. Hamad Rashid Mohamed - CUF
62 64. Mhe. Rajab Mbarouk Mohamed - CUF
63 65. Mhe. Thuwayba Idrisa - CUF
64 66. Mhe.Masoud Abdallah Salum - CUF
65 67. Mhe. Muhammad Ibrahim Sanya - CUF
66 68. Mhe.Ali Khamis Seif - CUF
67 69. Mhe.Haroub Muhammed Shamis - CUF
68 70. Mhe. Amina Amour. Nassoro. - CUF
69 20. Moses Machali – NCCR
70 29. Augustino L Mrema- TLP
Sasa CUF wameshagundua kuwa wametumwa na wananchi na sio kuburuzwa na Magamba. Kwa hilo tumegundua mmerudi kundini na ongezeni jitihada kusudi tuwaweke ktk kambi rasmi ya upinzani. Mngeshirikiana nasi tangu zamani sasa hivi Tanzania ingebadilika sana. Magamba ni Janga jamani

 
Ikipitishwa sheria ya ghafla, from nowhere kuwa kuanzia sasa Mawaziri hawatatokana na Wabunge, Wabunge wote wa chama "Twawala" ambao hawajasaini karatasi ya Zitto watasaini fasta fasta!
 
Kweli ukiwa ccm akili inakufa. Hata wale wa kisini ambao bandari yao imebadilishwa na ndege mbovu hawajasaini!!!!!
 
Mkuu Mh.lugola ni mbunge wa mwibara sio bunda.MBUNGE WA bunda MH.GOMBE STREAM NATIONAL PARK ni mchumia tumbo.

hata asipofanikiwa,ujumbe umefika,bila zito kusema vile cdhan kama leo serikal ingekua busy kuwa inajifungia,its gud
 
Sasa CUF wameshagundua kuwa wametumwa na wananchi na sio kuburuzwa na Magamba. Kwa hilo tumegundua mmerudi kundini na ongezeni jitihada kusudi tuwaweke ktk kambi rasmi ya upinzani. Mngeshirikiana nasi tangu zamani sasa hivi Tanzania ingebadilika sana. Magamba ni Janga jamani


Tusiwaanini sana CUF - Undumila kuwili ni sera ya chama chao!
 
ninawapongeza hao wabunge ni mshujaa wasiyo kukumbatia ujinga tu taifa lina teketea kwa ufisadi tupambane na wale wasiopenda maendeleo na waliojiwekeza kwenye ufisadi 2015 itakuwa suluhisho na hao wote watashtakiwa na wafilisiwe kwa kila mali waliyoiba
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom