Huyu kunjombe ndio yule aliyewahi kusutwa na wale kina mama wabunge au?
hapana siye huyu yule gamba alikuwa anaitwa Kirufi mbunge wa Rujewa-mbarali mbeya na huyu Deo ni mbunge wa Ludewa-iringa
Huyu kunjombe ndio yule aliyewahi kusutwa na wale kina mama wabunge au?
Mkuu Mh.lugola ni mbunge wa mwibara sio bunda.MBUNGE WA bunda MH.GOMBE STREAM NATIONAL PARK ni mchumia tumbo.
Mbunge wangu wa Iramba mashariki, Salome D. Mwambu [CCM] hajasaini!. Ngoja niandae mikutano mikubwa jimboni ya kumshitaki kwa umma. Lazima kieleweke.Wabunge wa CCM waliweka saini zao kwenye orodha ya ZIto ni mashujaa ambao ingawa wako kwenye chama cha mafisadi wamedhirisha kuwa wao si mafisadi. Na hii iwe ni heshima kwao na heshima kwa wale walio wachagua kule majimboni. Tunajua mambo ya ccm yalivyo kuwa wabunge hawa huenda wakasubuliwa na pengine hata kuvuliwa uanachama kwa vile watakuwa wamekiuka misingi ya chama hicho ya kilindana hata katika mambo yasiyofaaa.
nionavyo ni kuwa wao wasiogope kwa kuwa wamejionesha kuwa wao ni wabunge wa wananchi na bahati nzuri wananchi wao wamewaona. Wote tumewaona kama wakitokea kusumbuliwa wajue kuwa watakuwa wanasumbuliwa ni wapiga kura wao. wasiogope. TUNAWAPENDA NA TUNAWAPA BIG UP.
Alikuwa anamuuliza Zito nimlambe nisimlambe? Zito akamjibu kudadadeki mlambeFilikunjombe anaonesha uzalendo wa UKWELI KABISA...hapo moyoni anasema PNDA YOU MUST GO...NO WAY OUT....kwishney....
1. Ni mheshimiwa deo fiklikunjombeyah ki ukweli hao ni wapenda mabadiliko, hawaburuzwi na chama, big up. Weken majina yao
Licha ya kuwapo kwa fununu ya mawaziri kujiuzulu lakini Zitto amesema azima ya kuwasilisha hoja yake Jumatatu iko pale pale.
"Spika hajasema kitu, wamejipanga tu hawa, sisi hatujampelekea hoja yetu tunampelekea Jumatatu kisha ataamua. Ili mradi iwe siku 14 kabla ya siku ya kutoa hoja. Wanaweweseka tu," alidai Zitto.
Hadi jana jioni sahihi 75 zikiwemo 5 za wabunge wa CCM zilikuwa zimeshapatikana.
Majina ya wabunge wa CCM waliotia sahihi ni,
1. Deo Philikunjombe wa Ludewa,
2. Ally Keissy Mohamed wa Nkasi Kaskazini,
3. Alphaxard Kange Lugola wa Jimbo la Bunda,
4. Murtaza Ally Mangungu na
5. mbunge mmoja wa Viti Maalumu(CCM) kutoka Kanda ya Ziwa ambaye hakutaka atajwe kwa sasa.
Source: Gazeti la Mwananchi.
Hapana inaye mmoja tu. Lakini haitwi S.Wasira ni MH. GOMBE STREAM NATIONAL PARK. Yule mh. Lugora ni wa jimbo la Mwibara.Hivi Bunda inawabunge wawili pamoja na stephen Wassira??!!!!!!!
Licha ya kuwapo kwa fununu ya mawaziri kujiuzulu lakini Zitto amesema azima ya kuwasilisha hoja yake Jumatatu iko pale pale.
"Spika hajasema kitu, wamejipanga tu hawa, sisi hatujampelekea hoja yetu tunampelekea Jumatatu kisha ataamua. Ili mradi iwe siku 14 kabla ya siku ya kutoa hoja. Wanaweweseka tu," alidai Zitto.
Hadi jana jioni sahihi 75 zikiwemo 5 za wabunge wa CCM zilikuwa zimeshapatikana.
Majina ya wabunge wa CCM waliotia sahihi ni,
1. Deo Philikunjombe wa Ludewa,
2. Ally Keissy Mohamed wa Nkasi Kaskazini,
3. Alphaxard Kange Lugola wa Jimbo la Bunda,
4. Murtaza Ally Mangungu na
5. mbunge mmoja wa Viti Maalumu(CCM) kutoka Kanda ya Ziwa ambaye hakutaka atajwe kwa sasa.
Source: Gazeti la Mwananchi.