Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Waberoya,
Wee ni USALAMA WA TAIFA mkuu wangu na uko kazini haswaa kuivuruga CHADEMA.
Unatumia sana njia ya DEVIDE AND RULE.
Ulishatuelezea hapa Uhusiano Mkubwa wa Zitto na Ridhiwan na kuja na maneno kibao ya hadi kusalitiana kwenye migomo na mengineyo kibao............. Umeshamshambulia Mbowe mara kibao na tangu ile Makala, Zitto humshambulii tena ila kumtetea.
Sasa leo umekuja na mpya ya Urafiki wa Mbowe na Zitto.........tunashukuru tumelifahamu hilo. Kwa hiyo unataka kusema kuwa Mbowe akiondoka, Zitto ndiyo atachukua kiti na atampigia kampeni?
Nasubiri siku ukija na maneno ya Chadema ni chama cha watu wa kusini na hapo ndiyo ntakutwanga kwa maneno yako mwenyewe.
Mbowe alikuwepo Chadema miaka kibao. Zitto baada ya kusimamishwa bungeni, alianza kujipandisha chat mwenyewe na kuipandisha chat Chadema. Dr. Slaa alipoanza kurusha mabomu na kufanya ufanisi mkubwa katika kazi zake za ile Hospital ya mifupa na kule jimboni kwake, imemjengea umaarufu mkubwa sana kama Mchapa kazi na haogopi kumfunga paka kengele.
Alipotangaza kuingia kwenye uchaguzi wa Urais, pamoja na uhakika wa kushindwa (Ilijulikana hata akishinda, watachakachua. Na walichakachua kweli kweli) basi ashindwe ila atakipa chama NGUVU KUBWA. Sasa hivi kuwepo kwake Chadema, kunaijenga Chadema kama chama cha upinzani cha kutisha. Ni Slaa amewafanya CUF wawe chama cha pili cha Upinzani.
Slaa kwetu wengi atakuwa kama Mandela. Ingelikuwa furaha kumuona akiwa Rais kwa Term moja tu na huku akiacha Ameiweka katiba ya Tanzania katika hali nzuri. Kupunguza madaraka ya Rais, kuwaongezea madaraka viongozi wa Mikoani na Wilayani, kuongeza nguvu za Waziri mkuu, Mahakama kuwa na Nguvu na Bunge. Hii mihimili mitatu KUTENGWA na kuwekewa Mipaka ya kutokuingiliwa na hapa ina maana hata Jaji Mkuu, ni Majaji wapendekeze na Rais anachagua mmoja. Mkuu wa Usalama pia mchezo unakuwa huohuo kwa kupandisha watu vyeo na hadi mtu anafikia kuwa TOP na si kubebwa kama ilivyo leo......
Kuna mengi sana ya kufanya katika katiba ambapo kila mtu mwisho wa SIKU atakuwa CHINI YA SHERIA.
Waberoya, toka leo nakupa heshima sana maana USIJE UKANI-GHADAF bure mwana wa Sikonge.
Ahh, nimalizie kwa kusema "Zitto, wewe na JF ni kama Chanda na Pete." Hata usemeje, JF inakupenda?!?!
Wee ni USALAMA WA TAIFA mkuu wangu na uko kazini haswaa kuivuruga CHADEMA.
Unatumia sana njia ya DEVIDE AND RULE.
Ulishatuelezea hapa Uhusiano Mkubwa wa Zitto na Ridhiwan na kuja na maneno kibao ya hadi kusalitiana kwenye migomo na mengineyo kibao............. Umeshamshambulia Mbowe mara kibao na tangu ile Makala, Zitto humshambulii tena ila kumtetea.
Sasa leo umekuja na mpya ya Urafiki wa Mbowe na Zitto.........tunashukuru tumelifahamu hilo. Kwa hiyo unataka kusema kuwa Mbowe akiondoka, Zitto ndiyo atachukua kiti na atampigia kampeni?
Nasubiri siku ukija na maneno ya Chadema ni chama cha watu wa kusini na hapo ndiyo ntakutwanga kwa maneno yako mwenyewe.
Mbowe alikuwepo Chadema miaka kibao. Zitto baada ya kusimamishwa bungeni, alianza kujipandisha chat mwenyewe na kuipandisha chat Chadema. Dr. Slaa alipoanza kurusha mabomu na kufanya ufanisi mkubwa katika kazi zake za ile Hospital ya mifupa na kule jimboni kwake, imemjengea umaarufu mkubwa sana kama Mchapa kazi na haogopi kumfunga paka kengele.
Alipotangaza kuingia kwenye uchaguzi wa Urais, pamoja na uhakika wa kushindwa (Ilijulikana hata akishinda, watachakachua. Na walichakachua kweli kweli) basi ashindwe ila atakipa chama NGUVU KUBWA. Sasa hivi kuwepo kwake Chadema, kunaijenga Chadema kama chama cha upinzani cha kutisha. Ni Slaa amewafanya CUF wawe chama cha pili cha Upinzani.
Slaa kwetu wengi atakuwa kama Mandela. Ingelikuwa furaha kumuona akiwa Rais kwa Term moja tu na huku akiacha Ameiweka katiba ya Tanzania katika hali nzuri. Kupunguza madaraka ya Rais, kuwaongezea madaraka viongozi wa Mikoani na Wilayani, kuongeza nguvu za Waziri mkuu, Mahakama kuwa na Nguvu na Bunge. Hii mihimili mitatu KUTENGWA na kuwekewa Mipaka ya kutokuingiliwa na hapa ina maana hata Jaji Mkuu, ni Majaji wapendekeze na Rais anachagua mmoja. Mkuu wa Usalama pia mchezo unakuwa huohuo kwa kupandisha watu vyeo na hadi mtu anafikia kuwa TOP na si kubebwa kama ilivyo leo......
Kuna mengi sana ya kufanya katika katiba ambapo kila mtu mwisho wa SIKU atakuwa CHINI YA SHERIA.
Waberoya, toka leo nakupa heshima sana maana USIJE UKANI-GHADAF bure mwana wa Sikonge.
Ahh, nimalizie kwa kusema "Zitto, wewe na JF ni kama Chanda na Pete." Hata usemeje, JF inakupenda?!?!