Zitto kumwachia cheo Mgombea Urais ACT

Zitto kumwachia cheo Mgombea Urais ACT

Hiki chama inaonekana ni mkusanyiko wa wapuuzi ndio maana mnamwabudu ayatola mwami kama mfalme wakati hata shati lake la kwanza kali alipewa na Mbowe. Muache uchizi huo kutudharau watanzania kuwapa uraisi wakati hata ofisi za wilaya hamna. Kama Lowassa ndio anajifariji hivyo ajiandae na safari ya ujerumani November kutibu post election shock
 
Kulingana na ziara ya kiongozi mkuu na kupokelewa vyema kuna uhakika wa ACT kushinda kiti cha urais kwa urahisi kabisa.

Sikatai maana Tz kuna marais wengi km madee rais wa manzese so na ACT itashinda urais sema umeshindwa kubainisha tu ni urais wa wap maana wa nchi hamuwezi
 
uraisi wa tff kwani ayatola ni simba damu tusimwamini kwa kuwa ni mwanasiasa
 
Zitto amenukiliwa na Mwananchi (la leo) kuwa atamwachia nafasi yake ya kiongozi mkuu wa ACT.

My take: Hii siyo demokrasia, kama watu wanaachiana vyeo katika chama cha siasa kama kurithishana ufalme.
======================


Chanzo:Mwananchi

Hapa issue siyo kuachiana vyeo Zitto ashafanya hesabu zake ACT Rais atakuwa ni mtu yupo hawezi kushika madaraka saivi lengo lake yeye awe mbunge ili apate kujidai kule bungeni na kuonekana labda huko baadae akihisi urais unaweza kuwa deal ndo mana ameachia ni ule ule unafiki tu
 
Hapa issue siyo kuachiana vyeo Zitto ashafanya hesabu zake ACT Rais atakuwa ni mtu yupo hawezi kushika madaraka saivi lengo lake yeye awe mbunge ili apate kujidai kule bungeni na kuonekana labda huko baadae akihisi urais unaweza kuwa deal ndo mana ameachia ni ule ule unafiki tu
Ni kweli Zitto ni msaka madaraka ndiyo maana ni msalitii na mbinafsi kupita maelezo. Lakini kuna hili suala na kingozi kuwa kama mfalme,kwamba wanaeana vyeo kama taasisi ya kifalme.
 
dah kweli mtoa mada great tinker
Hata mimi naona hivyo. Halafu Zitto kweli akili yake imechoka maana anadanganya halafu anasahau. Anataka kujiunga na UKAWA huku anataka kumwachia Lowasa ukuu wa chama ili agombee urais kupitia ACT. Hivi anajielewa kweli huyu Zitto.
 
Inaonekana ACT hawataweka mgombea urais.

Sidhani kama Zitto anaweza kumwachia mwingine cheo cha Kiongozi mkuu wa chama ili huyo mwingine agombee urais.

Kuanzia 2020 ndio ataanza kugombea. Na ataendelea kugombea hadi avunje rekodi ya Lipumba.

Huoni kwenye maelezo yake anaweka angalizo jwamba atakayewekwa asiwe mtu wa kung'ang'ania!
 
Amwachie sasa huyu mama si aliahidi!! She.nzy zake sijui kwa nini huwa mropokaji namna hiyo!
 
bila shaka leo kwenye uzinduzi wa kampeni zao atakuwa ametangaza rasmi kumwachia yule mama cheo chake .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom