Zitto kumwachia cheo Mgombea Urais ACT

Zitto kumwachia cheo Mgombea Urais ACT

Zitto nyota ing'aayo Tanzania.Kila baada ya dakika moja Zitto anafunguliwa thread hii inaonyesha jinsi gani wanavyomkubali.Hata kama wakibadilisha maneno.
Mkuu hebu nieleweshe kidogo kuhusu hicho cheo cha Zitto, "kiongozi mkuu wa chama", nasikia kuna mwenyekiti pia, yeye Zitto na huyo mwenyekiti wake ni nani mkubwa?
 
Zitto amekanusha hii kitu lkn kwann mnaendelea kumfatilia MTU ameshahama CDM?
 

Attachments

  • 1429113925972.jpg
    1429113925972.jpg
    76.7 KB · Views: 104
Naona maneno ya kwenye e mail yameanza kufanya kazi, "Waandae wananchi ili wasije kushituka" analiandalia njia jiwe watakalo likataa waashi ili lije kuwa jiwe kuu la ACT. siasa ni mchezo mchafu sana.

Umeona ee! Baada ya email ya Madelu kumwelekeza ZZK, akatekeleza kupitia mkutano wa Iringa na mahojiano na Mwananchi. Mawioo la leo wamedadavua kwa undani sana mpango huo wa ZItto na Savimbi pamoja na vigogo wengine wa wa CCM na serikali.
 
Zitto na Mwigulu walikuwa wanawasiliana ili Lowassa akikatwa jina wampe nafasi Agizo la Chama Tawala (ACT).
Nitakuleteeni hapa hizo baruapepe. Na Zitto kaambiwa aanze kumtangaza Lowassa na ndo maana alisima hivyo.
Du kweli Zitto ni msalitii na mroho wa madaraka kupindukia.
 
hizo ni mbinu zao na mwigulu mkuu hata usiumize kichwa!
walishasema kuna mzee zitto atajidai anampisha ili zitto asionekane ni mtaka madaraka!!

na mbinu yao ndo hiyo ya kuwaanda wananchi kisaikolojia!

hata hawa wote unaona wanabwabwaja hapa jukwaan wamewekwa maalum kwaajili ya kupiga hiz kelele ili tu jina ACT liendelee kusikika masikion mwa watu!! so kwa mtu mwelewa hata usipate shida
Kuna madau ka-comment kwamba Zitto alipokuwa CDM alipanda majukwaani kuutangazia umma kuwa atagombea urais, huku wenzake wa CDM wakiwa wanampigia kampeni Nasari. Sasa leo kajiunga na Association of Cowards and Traitors (ACT) anataka kinafiki kuwaonyesha watu kuwa siyo mpenda madaraka, nani atakayemwamini.
 
Na hapo ndipo ambapo wanaukumbi wengi wanapasubiria, ngoja tuone CCM wapitishe mgombea wao then bunge livunjwe kwanza, sasa zile rangi halisi ndo zitabainika.

Kufika lazima tufike tuu.

Unadhani kitu gani kitatokea ikiwa hivyo?
 
Mkuu hebu nieleweshe kidogo kuhusu hicho cheo cha Zitto, "kiongozi mkuu wa chama", nasikia kuna mwenyekiti pia, yeye Zitto na huyo mwenyekiti wake ni nani mkubwa?
Mkubwa kiongozi mkuu na amerundikiwa madaraka kibao. Ndiyo maana anaitwa Ayaa-toolaah ZZK.
 
Zitto amekanusha hii kitu lkn kwann mnaendelea kumfatilia MTU ameshahama CDM?
Huwa anakataa ukweli mchana kweupe. Hata usaliti wake kwa Chadema kupitia waraka wa MM, MM1, MM2 na MM3 walikanusha inagwa walikamatwa nao.
 
lowasa ameiandaa ACT ili akimwagwa CCM arudi kwa zzk na zzk ampishe ili agombee urais kwa kigezo kwamba ACT nayo ni chama chenye falsafa ya kijamaa kama ccm.

ndio maana unaona ACT-wasaliti wanapata sapoti ya fedha zisizojulikana zinakotokea,ila baada ya email kati ya mwigulu na zitto kabwe kuvuja na kuwekwa humu JF jana,mambo tumeyaelewa vizuri kabisa:juggle::juggle::juggle:
 
Zitto na Mwigulu walikuwa wanawasiliana ili Lowassa akikatwa jina wampe nafasi Agizo la Chama Tawala (ACT).
Nitakuleteeni hapa hizo baruapepe. Na Zitto kaambiwa aanze kumtangaza Lowassa na ndo maana alisima hivyo.
Mungu akuepushe na vitu vyenye ncha kali .
 
Kulingana na ziara ya kiongozi mkuu na kupokelewa vyema kuna uhakika wa ACT kushinda kiti cha urais kwa urahisi kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom