Zitto kumwachia cheo Mgombea Urais ACT

Zitto kumwachia cheo Mgombea Urais ACT

Sio kuwa anajaribu kuachia nafasi ya mtu anayedhani atakuwa na nafasi kubwa ya kushinda na ana matumaini ya kupewa cheo kikubwa na huyo atakayeshinda?
 
Ni vigumu sana kumuflewa ZZK. Alijua hakidhi haja za kugombea urais kwa nini alijitwisha cheo cha ukuu wa chama?
 
Kama IQ yako ni kubwa utamuelewa ZZK ilichomaanisha hapo kama ni kilaza hautomuelewa alichomaanisha.

Zitto anaeleweka vizuri kwa maneno na matendo yake. Haiitaji elimu ya darasa la saba kumuelewa mtu anayengangana kutaka Urais huku umri wake ukiwa haukidhi vigezo vya kikatiba.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Inaonekana ACT hawataweka mgombea urais.

Sidhani kama Zitto anaweza kumwachia mwingine cheo cha Kiongozi mkuu wa chama ili huyo mwingine agombee urais.

Kuanzia 2020 ndio ataanza kugombea. Na ataendelea kugombea hadi avunje rekodi ya Lipumba.
 
Ni kwamba Zitto amesema kuwa atamrithisha cheo chake cha kiongozi mkuu mgombea urais atakayeteuliwa na ACT. Habari kamili gazeti la Mwananchi la leo (ukurasa wa kwanza na inaendelea ukurasa wa sita). Hapo utaona watu wanarithishana vyeo katika ACT kama ufalme.

ufananuzi mkuu apo kwny red
 
ZZK anamwaga mboga baaada ya cdm kumwaga ugali.
maisha yanaendelea.
ni mara ngapi mmeshuhudia mfanyakazi wa duka anaanzisha duka lake na kuboresha huduma kisha kumshinda bosi wake kwa mauzo na wateja kuhamia kwake?:A S 103:



kamahuduma ya chadema haina ladha usishangae ACT kupata wateja toka vyama vingine.:crazy:

kwani wanachama wa chadema wametoaka wap?ukikurupukia siasa za TZ utavurugwa,ukipata upenyo wako fanya yako
,
 
.
Anayawinda makapi yatakayotupwa kwenye kura za maoni za vyama.
Anamvutia EL kuwekeza act?
Sawa inawezekana kabisa wanamsubiri Lowassa ila kazi itakuwa pale atakapotakiwa kujaza fomu ya mali alizonazo.
 
Akili yako ya ajabu sana ni mtu usiyejitambua wala hujui unafanya nini kwenye hii dunia.


Akili yako ni kubwa sana hadi unakurupuka..

hivi mtu akitoa mtazamo wake kuna haja ya kumtusi? kwa nini usipinge kwa hoja?

Wew ni katibu wa act wasaliti eti?
 
Inaonekana ACT hawataweka mgombea urais.

Sidhani kama Zitto anaweza kumwachia mwingine cheo cha Kiongozi mkuu wa chama ili huyo mwingine agombee urais.

Kuanzia 2020 ndio ataanza kugombea. Na ataendelea kugombea hadi avunje rekodi ya Lipumba.
Hawezi kuivunja rekodi ya Lipumba kwa mujibu wa katiba yao ukigombea na kushindwa huo ndio unakuwa mwisho wa uongozi wako, hii katiba ni ya ajabu sana hawajui kwenye ushindani kuna kushinda na kushindwa.
 
Huyu --------- kawa kama wema sepetu kila siku habari mpya
 
10447833_1821885678035599_2873899405911690022_n.jpg
Zitto ameshaona dalili mapema kuna giza nene mbeleni sasa hicho cheo anamwachie atayegombea uraisi huyu mgombea akishindwa anarudisha hicho kwa Zitto sijaelewa hapo.
 
MKUTANO WA ACT-MAFINGA wamejitokeza watu wengi
Zitto hatakomandi kamwe audience kama alivyokuwa ana komandi akiwa chadema manake mikutano yake ilikuwa mafuriko Zitto A.Ya.to.lla.h. mikutano ya sasa ni ukame chukua picha yeyete ya mkutano wake akiwa chadema ulinganishe na sasa uone alivyokataliwa na wananchi
 
Zitto nyota ing'aayo Tanzania.Kila baada ya dakika moja Zitto anafunguliwa thread hii inaonyesha jinsi gani wanavyomkubali.Hata kama wakibadilisha maneno.

Chama cha kipumba.v kinaongozwa na mpumba.vu! Tuwapeni muda tu hawatafika mbali, maana huyu nguchiro yeye ndo anajiona ndo ACT na ACT ni yeye! Lazima kisambaratike tu! KIONGOZI MKUU --------- KHOMEINEY!
 
Mtazamo wangu...idadi ya watu kwenye mikutano ya kisiasa haitoi picha halisi ya kiasi gani chama kinapendwa...kwa mfano ukimwita diamond apige shooo alafu ndio uhutubie..watu watadhani Sera zako ndio ziliwavuta watu..jambo ambalo si sahihi.

Pili kama umewaleta watu na kuwagharimia na kuwalipa..wingi wao unaweza kutafsiriwa isivyo halali..

Siasa ni propaganda ..SI HASA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom