Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Zitto amenukiliwa na Mwananchi (la leo) kuwa atamwachia nafasi yake ya kiongozi mkuu wa ACT.
My take: Hii siyo demokrasia, kama watu wanaachiana vyeo katika chama cha siasa kama kurithishana ufalme.
======================
Chanzo:Mwananchi
Zzk hawezi kumwachia mtu cheo hata siku moja,zzk kikwazo ni umri hajatosha ,zzk ana tamaa ya madaraka sana