Zitto kugombea urais 2015?

Zitto kugombea urais 2015?

Status
Not open for further replies.
kuna watu mapimbi sana tz hii ndio maana sisi bado ni maskini wa kutupwa mpaka leo!
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mimi maono yangu ni kwamba katika CDM ni ZITTO peke yake ambaye anaweza kutusogeza toka point A to B nchini Tanzania. Wengine wote wanafaa kuwa wasaidizi wake. Sisemi kwamba hawafai, lakini katika Presidential level, Zitto is the right choice. Slaa ni mtendaji, let him be PM na Mbowe labda VP. Huu ni ukweli ambao hata Stevie Wonder anaweza kuuona.
Napita.
Pole. Hivi CCM walishakulipa vile ile michuzi ya Contract ya kuwachonganisha na baadae kuwasambaratisha CHADEMA?
Naona mnahunyahunya baada ya kuonja kidogo tu guvu ya umma. Hizo ni rasharasha, subirini za masika muone. Mmetumia TV, Redio, hongo za fedha mmeishia kuliwa na moto wa CHADEMA ni uleule! Mmejaribu kupakazia ukabila na udini ulioasisiwa na bosi wenu, mwana msaliti wa Nyerere aliyeitahadharisha mapema CCM kuepukana na propaganda za ukabila na dini; tena mkiinajisi hata imani kwa kuwatumia viongozi tunaowaheshimu lakini wapi! Kwa kifupi suala la nani kuwa Rais si issue muhimu zaidi ni mapambano ya ukombozi dhidi ya ujambazi na ufisadi wa CCM. Mshikamano uliopo sasa ndani ya CHADEMA unatia moyo na
nyinyi endeleeni kufuatilia nyumanyuma kama fisi mwenye mategemeo ya mkono kukatika ili apate kitoweo!
Huu si wakati wa kuhangaikia nani atakayekuwa mgombea urais bali ni wakati wa harakati za kuihenyesha na kuwaadabisha CCM hadi wasalimu amri kwa nguvu za umma. Kawaambie tumeshawagundua, kamwe hatudanganyiki.
 
uhuru wa maoni...................ndo maana tuko wengi hakuna limit ya aina fulani ya watu tu humu.
 
Naunga mkono hoja. Ukiachilia dosari na mapungufu madogo madogo,, ZITTO KABWE ndiye anafaa zaidi na mvuto zaidi ndani ya CDM kuliko Slaa au Mbowe. Huyu kijana anapendwa na watu wa rika zote na amejaa busara na hekima kuliko wengine. Hana mabo ya "hovyo hovyo" Sijawahi kusikia kaiba mke au girl friend wa mtu. Go ZITTOO!

Amina!?
 
Si Zitto wala Slaa wala Mbowe wanaofaa.

1) Zitto: jazba, hasira, hamaki, hafichi "emotions zake". Anafaa kuwa mkurungenzi wa idara katika serikali.

2) Slaa: hawezi kabisa uongozi. Alishindwa wa kanisa unaohudumia jamii yenye imani kama yake, na maadili ndio hivyo tena kama tujuavyo. Hafai hata kuwa diwani. Anafaa kuwa mfugaji na ajilimbikizie wake wa kumsaidia.

Mbowe: Huyu anafaa kuwa waziri wa starehe kutokana na ujuzi wake wa kuchezesha Disko kwa muda mrefu. Uongozi wowote wenye utendaji hauwezi kwani hata kampuni yake ilioanzishwa kwa mali za kurithi "kaifilisi" haina hata hela za kulipa deni alilokopa NSSF. Sasa huyu akipewa nchi si kasheshe.

Mkataa wengi ni mchawi! yn mtu anayekubalika, tumaini la Tanzania mpya... wewe unaona anafaa uwa mfugaji!! Sitilii shaka kama ww ni mchawi!!!
 
Nimekuwa nikimfuatilia huyu mpiganaji kwa karibu na nilishangazwa alivyoshindwa kuhudhuria walau ufunguzi wa maandamano ya kanda ya ziwa na kisha akarudi kumuuguza mama yake, Sasa kwa haya maandamano ya nyanda za juu kusini yatakayoanza mei 4 hatutaki akose. Mm nipo kati ya hiyo mikoa ya nyanda za juu kusini na nawasubiri viongozi wote wa kitaifa akiwemo na yeye.
 
muft ana wafuasi wake wachache wanaonufaika na pesa za mafisadi ndo maana anaropoka ropoka tu, Mm hapa ni muislam safi ila nawasubiri waje tuandamane kwa kishindo, Kwa taarifa yako waislam 2po bize na ukombozi wa pili wa nchi hii kupitia pipozzzz pawaaaaa
 
Hukumsikia Mufti? ama unataka afuate maagizo ya maskofu?

mufti asijisahau siasa unamhusu nini? hawa ndio wanaomponza JK, waonekane wanamtetea, watulie, arudishe kauli yake na akikataa poa, kusini hamna waislamu, amsaidie kwanza bosi wake gaddafi anaefanywa vibaya na DAVID na NICOLA, si aliaahidiwa msikiti wa gorofa shirin? ndio mana meitisha mandamano ya kumuunga mkono.
 
Ni kweli hapa Zitto ni lazima uoneshe wewe ni nani ndani ya CDM japo juzi nilimwona Shinyanga
 
mufti asijisahau siasa unamhusu nini? hawa ndio wanaomponza JK, waonekane wanamtetea, watulie, arudishe kauli yake na akikataa poa, kusini hamna waislamu, amsaidie kwanza bosi wake gaddafi anaefanywa vibaya na DAVID na NICOLA, si aliaahidiwa msikiti wa gorofa shirin? ndio mana meitisha mandamano ya kumuunga mkono.
Kusini hamna waislamu ? Natoka Mbeya na waislamu ni wengi tu.
 
Zitto asipingane na wenzake chadema ili kufanikisha ukombozi wa nchi yetu kama harakati za pamoja zilivyoanza.
 
2najua hata asipohudhuria yatakwena vizuri ila tunataka ahudhurie na apewe kuelezea kipande cha DOWANS isilipwe.
 
Jamani naona vijana mnaendekeza ile issue ambayo wanaharakati wa cdm hatuitaki,hatutaki kuwa na watu maarufu zaid ya chama,hivyo msitake kuleta habari za kutafuta kuchonganisha viongozi wetu wa chama,kwani tunajua hata mbowe au slaa akitangulia mbele ya haki cdm itabaki hai tu,sio kama mnavyotaka wtu 3/2 wawe wao ndio kila kitu,je wasipohudhuria na vijana wa cdm wakapewa hoja hizo wazilete mikutanoni,hamtawapokea?....hata hivyo zitto nakuomba ukiwa na usikivu jitokeze sasa,kwanza ujue mitaani wamepoteza imani na wewe kwa kosa lako la kuropoka sana kwenye vyombo vya habari na hao wanafiki wanatumia nafasi hii kuchocgea chuki sana,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom