Zitto kugombea urais 2015?

Zitto kugombea urais 2015?

Status
Not open for further replies.
Kashaga mumchukue tu mkamtumie kwa namna itakavyowapendeza. Hatuna matumizi nae. Watanzania hawamhitaji. Anaweza kufaa mkimtumia kwa nafasi ya Domokaya (atakuwa amechoka by then), au chili ngapi. Huko hatakuwa bugudha kwa waTz.

Asanteni kwa kuona talenti.
sikujua kama siku hizi umekuwa msemaji wa watanzania!"hatuna imani nae" "watanzania hawamhitaji" kwanini uwasemee watu moyo? zitto amefanya kosa gani ambalo halisameeki au halirekebishiki? kama ni kosa kubwa sana la kukosa sifa ya kuwa kiongozi kwanini cdm iendelee kumng'ang'ania????
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mimi maono yangu ni kwamba katika CDM ni ZITTO peke yake ambaye anaweza kutusogeza toka point A to B nchini Tanzania. Wengine wote wanafaa kuwa wasaidizi wake. Sisemi kwamba hawafai, lakini katika Presidential level, Zitto is the right choice. Slaa ni mtendaji, let him be PM na Mbowe labda VP. Huu ni ukweli ambao hata Stevie Wonder anaweza kuuona.
Napita.
 
Ni vizuri umesema ni maono yako. Na wengine watakuwa na maono yao vile vile.
 
na mimi naona hivyo.but watu wa chadema sidhani kama wanamuamini...
i doubt kama hata mioyoni mwao hawatamani ahame chama
 
Zitto alikosea angekuwa NCCR leo angekuwa na nguvu zaidi....
 
Typical wadanganyika..small-minded and always talking about individual glories badala ya kuestablish mifumo thabiti ya kujiongoza.
 
Duh!kwa lipi mkuu,au kwa kuuza CDM kwa kina Rostam Aziz na wenzake?huna jipya mkuu!!
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mimi maono yangu ni kwamba katika CDM ni ZITTO peke yake ambaye anaweza kutusogeza toka point A to B nchini Tanzania. Wengine wote wanafaa kuwa wasaidizi wake. Sisemi kwamba hawafai, lakini katika Presidential level, Zitto is the right choice. Slaa ni mtendaji, let him be PM na Mbowe labda VP. Huu ni ukweli ambao hata Stevie Wonder anaweza kuuona.
Napita.
Bora umepita na ujumbe wako umefika
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mimi maono yangu ni kwamba katika CDM ni ZITTO peke yake ambaye anaweza kutusogeza toka point A to B nchini Tanzania. Wengine wote wanafaa kuwa wasaidizi wake. Sisemi kwamba hawafai, lakini katika Presidential level, Zitto is the right choice. Slaa ni mtendaji, let him be PM na Mbowe labda VP. Huu ni ukweli ambao hata Stevie Wonder anaweza kuuona.
Napita.

CDM ni chama na CDM ni taasisi...siyo NGO ya mtu,pale wenye uwezo huo ni wengi sana sema hujapata kuwaona..kwaheri kwa sasa
 
HTML:
[PHP][HTML]
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mimi maono yangu ni kwamba katika CDM ni ZITTO peke yake ambaye anaweza kutusogeza toka point A to B nchini Tanzania. Wengine wote wanafaa kuwa wasaidizi wake. Sisemi kwamba hawafai, lakini katika Presidential level, Zitto is the right choice. Slaa ni mtendaji, let him be PM na Mbowe labda VP. Huu ni ukweli ambao hata Stevie Wonder anaweza kuuona.
Napita.
[/PHP[/HTML] TUNA HITAJI WATENDAJI ZAIDI KWA SASA. Angalia Magufuli, Mrema, Pinda Walivyo shindwa kutekeleza majukumu yao kutokana na udhaifuwa walio juu yao.
 
Si Zitto wala Slaa wala Mbowe wanaofaa.

1) Zitto: jazba, hasira, hamaki, hafichi "emotions zake". Anafaa kuwa mkurungenzi wa idara katika serikali.

2) Slaa: hawezi kabisa uongozi. Alishindwa wa kanisa unaohudumia jamii yenye imani kama yake, na maadili ndio hivyo tena kama tujuavyo. Hafai hata kuwa diwani. Anafaa kuwa mfugaji na ajilimbikizie wake wa kumsaidia.

Mbowe: Huyu anafaa kuwa waziri wa starehe kutokana na ujuzi wake wa kuchezesha Disko kwa muda mrefu. Uongozi wowote wenye utendaji hauwezi kwani hata kampuni yake ilioanzishwa kwa mali za kurithi "kaifilisi" haina hata hela za kulipa deni alilokopa NSSF. Sasa huyu akipewa nchi si kasheshe.
 
si kawaida yangu kutukana naomba nisianze leo, kwa nini baadhi ya watanzania wanadharau hivi wakati hali zao ni duni mara elfu kuliko za hao wanaokashifu? ni wachezesha disco kama mbowe wanaoweza kubadili maisha ya watanzania na washenzi kama nyie muendelee kupiga domo huku mkishindwa hata kitambaa cha kupenga kamasi. Inaudhi sana dharau za wasionacho, unaweza kumlinganisha mbowe na JK? au kwa kuwa anavaa joho la kijani? watanzania wamechoshwa na fikira mgando za kula bila kuzalisha nini disco we are better off kuongozwa na mama ntilie walau anajua kupanga mahitaji ya chakula sipendi kabisa dharau za poppers. mtabaki hivyo hivyo oo slaa kashindwa kuongoza kanisa wakati kura zake mmemuibia ingekua mnagamba mngeacha tuone leo hii baba zetu wangeshakuwa mahospitali wakipata matibabu ya kisayansi badala yake mko nao mnagombea foleni loliondo mavi hapo hapo, halafu mnalaumu maiti zimetapakaa, how about muhimbili tunalala nazo wodini masaa na masaa.
 
si kawaida yangu kutukana naomba nisianze leo, kwa nini baadhi ya watanzania wanadharau hivi wakati hali zao ni duni mara elfu kuliko za hao wanaokashifu? ni wachezesha disco kama mbowe wanaoweza kubadili maisha ya watanzania na washenzi kama nyie muendelee kupiga domo huku mkishindwa hata kitambaa cha kupenga kamasi. Inaudhi sana dharau za wasionacho, unaweza kumlinganisha mbowe na JK? au kwa kuwa anavaa joho la kijani? watanzania wamechoshwa na fikira mgando za kula bila kuzalisha nini disco we are better off kuongozwa na mama ntilie walau anajua kupanga mahitaji ya chakula sipendi kabisa dharau za poppers. mtabaki hivyo hivyo oo slaa kashindwa kuongoza kanisa wakati kura zake mmemuibia ingekua mnagamba mngeacha tuone leo hii baba zetu wangeshakuwa mahospitali wakipata matibabu ya kisayansi badala yake mko nao mnagombea foleni loliondo mavi hapo hapo, halafu mnalaumu maiti zimetapakaa, how about muhimbili tunalala nazo wodini masaa na masaa.

Nadhani hujui unaeongea nae. Na wala sina haja ya kukupa faida kubwa, kwa ufupi:

Anaekuleza hayo ni: Semi retired professional who worked with International corporations for over 25 Years in decision making positions. Currently a shareholder and member of the boards in several good companies ranging from Services, Farming, Trading to Tourist lodges and Hotels.

That's majimshindo, for your information.
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Mimi maono yangu ni kwamba katika CDM ni ZITTO peke yake ambaye anaweza kutusogeza toka point A to B nchini Tanzania. Wengine wote wanafaa kuwa wasaidizi wake. Sisemi kwamba hawafai, lakini katika Presidential level, Zitto is the right choice. Slaa ni mtendaji, let him be PM na Mbowe labda VP. Huu ni ukweli ambao hata Stevie Wonder anaweza kuuona.
Napita.

Hahaaaaaaaaa,Zitto tena angalia huyu bado kabisa kukomaa hana tofauti na ****** tulimpenda kumbe ukomavu ulikuwa bado same tu Zitto he is immature to lead our nation.CDM walimpa nafasi lakini ameprove failure kwa kiongozi,anakosa busara uvumili na staha siku zote anajiona yeye yuko sahihi na wengine ndio wanaokosa sasa hili kiubiamu tu ni kwamba tayari unakasoro hakuna binadamu asiyekosea na pia tumeubwa kusahau,sasa kwa huyu kijana bado mbaka ayaelewe vizuri hayo niliyoyataja la sivyo akipewa tunaelekea kwenye janga la kuangusha chama,CDM ilianza sikunyingi na imekuwa na mtindo wa kubadili viongozi katika vipindi tofauti huko nyuma kungekuwa na kiongozi wa aina ya Zitto kisingefika hapa.
 
Mkuu! Kwa sifa hizo ulizojilimbikizia na kuzitaja hapo kwa kizungu. Mbona mi naona zinapingana na maoni yako juu ya viongozi wa CDM? Au hizo sifa umejipachika tu? Sifa hizo ni kwa upande wa kudhalilisha wengine. Kama ndivyo.. Umebobea kwa kushindwa kuficha chuki ya wazi tofauti na hadhi yako Mkuu!
 
Nadhani hujui unaeongea nae. Na wala sina haja ya kukupa faida kubwa, kwa ufupi:

Anaekuleza hayo ni: Semi retired professional who worked with International corporations for over 25 Years in decision making positions. Currently a shareholder and member of the boards in several good companies ranging from Services, Farming, Trading to Tourist lodges and Hotels.

That's majimshindo, for your information.

Hata JK ana CV ndefu ya kuongoza chama na kushika nafasi muhimu serikalini lakini bado ni kilaza tu... Na nimekua nikufutatilia thread zako nyingi nimegundua wewe mwenyewe ni mchovu wa fikra hata ungekuwa na experience ya muda gani ktk proffessional zako bado hakiuondolei ukilaza ulionao. Nchi hii hata tukimpa Mnyika ambae hana CV kama ya kwako au JK bado ataiongoza vizuri...
 
Mkuu! Kwa sifa hizo ulizojilimbikizia na kuzitaja hapo kwa kizungu. Mbona mi naona zinapingana na maoni yako juu ya viongozi wa CDM? Au hizo sifa umejipachika tu? Sifa hizo ni kwa upande wa kudhalilisha wengine. Kama ndivyo.. Umebobea kwa kushindwa kuficha chuki ya wazi tofauti na hadhi yako Mkuu!

Kwanza nimezitaja hizo sifa ili aelewe aliyetowa "analysis" za hao "viongozi" watatu ni mtu mwenye upeo wa kuchambuwa.

Kuhusu hizo sifa (ni baadhi tu), hunijuwi sikujuwi, ukipenda zikubali ukipenda usizikubali.

Kuhusu kuziongelea kiingereza, napenda uelewe kuwa mimi nimeanza masomo yangu ya awali wakati bado tu Tanganyika na wakati huo, kiswahili kilikuwa ni somo moja tu la "swahili", masomo yote yalikuwa ya kiingereza, utaniwia, mtaniwia radhi ikiwa nnatumia maneno ya kiingereza kujielezea. Msamiati wa kiswahili cha kisasa hunipiga chenga na kuna kauafadhali fulani nitumiapo kiingereza kwa baadhi ya maneno. Hujitahid sana kuandika kiswahili kila niwezapo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom