Zitto kugombea urais 2015?

Zitto kugombea urais 2015?

Status
Not open for further replies.
Sioni tatizo zitto kuhutubia wanachama wa ccm inawezekana alikuwa anawaeleza sera nzuri za chadema ili kuwashawishi wajiunge na chadema.
 
Sioni tatizo zitto kuhutubia wanachama wa ccm inawezekana alikuwa anawaeleza sera nzuri za chadema ili kuwashawishi wajiunge na chadema.
 
una maanisha zitto ana jifikiriaje na yeye?
Maana nae pia ni kiongozi wa chadema,...
Kwa hilo atajibu mwenenyewe akija humu
 
Chadema ni cjama kwa maslahi ya watz bila kujali rangi, chama nk. Sioni ubaya
 
Jamvi limegeuka kuwa kijiwe cha majungu siku hizi?? :disapointed:
 
hii thread haina kichwa wala miguu, isingeruhusiwa kutoka. c tatizo kabwe kuongea na yeyote awe wa ccm ama cdm. tena unaweza ongea na wasio wana cdm kuwaelezea ya cdm ili nao wajiunge cause sidhani cdm inabagua. so that man is correct na aendelee zaidi
 
Sioni tatizo zitto kuhutubia wanachama wa ccm inawezekana alikuwa anawaeleza sera nzuri za chadema ili kuwashawishi wajiunge na chadema.
 
Wakeup guy, zitto anaongoza jimbo lenye wanachama wa Chadema na ccm, hazuiliwi kuongea na watu wake wa jimbo, jambo la muhimu anaongea nao nini basi.
 
Sioni tatizo zitto kuhutubia wanachama wa ccm inawezekana alikuwa anawaeleza sera nzuri za chadema ili kuwashawishi wajiunge na chadema.
 
jamani naomba kujulishwa huyu zito matendo anayofanya mpaka picha tumeona anahutubia wanachama wa ccm kwa nini viongozi wa chama chake hawayatolei matamko?nawakilisha

Unawakilisha nini? Hata matumizi ya lugha adhimu hujui.
Mara nyingine usiharibu majina ya watu...zito ndio nani?
 
Shitambala mwenzie kaondoka Zitto sijui anasubiri nini aondoze zake tu
 
Sioni tatizo zitto kuhutubia wanachama wa ccm inawezekana alikuwa anawaeleza sera nzuri za chadema ili kuwashawishi wajiunge na chadema.
 
No evidence keep quite sio lazima uongeee na wewe kwa kukurupuka ili ionekane umeongea jaribu kuongea na ushahidi bila evidence funga domo hapa haijawa kijiwe cha majungu piga cool
 
Shitambala mwenzie kaondoka Zitto sijui anasubiri nini aondoze zake tu
Nona ukiondoka wewe ndio itakuwa swafi unachuki za kisiasa nani kakutuma? mwache zitto awe zitto anachofanya bungeni kinakubalika kuliko kumkosa hoja kazi yako ni kumkera zitto kila ukichangia

kwa taarifa yako kila mtanzania ni fisadi jua hilo kuanzia mfagiaji hadi raisi bisha basi kwenye dini zetu huko napo kuna ufisadi. chukua chako mapema Zitto humuwezi maji marefu yale.

nitajie mwanasiasa aliye msafi?
 
Oohh ahsante sana kwa kunielimisha, kumbe mlipata asilimia 1.34% zaidi ya robo! Hongereni sana, siku mkizidisha hiyo hesabu ikafikia ushindi, JMK atakuwa kisha staafu zamani. Mungu ampe umri mrefu.
Kwa sasa bado uguzeni majeraha.

wee Riz1 embu acha kutopotezea muda wetu hapa, au kwa vile wewe unakula na kushiba nini??
miraji kaacha usela?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom