kamanda acha kukurupuka kama huyo lema uliyetutajia hapa - kwanza chama kilete vielelezo na ushahidi wa KUTOSHA juu ya usaliti wa zzk ili tujiridhishe na hatimaye tumhukumu kwa haki.
wengine tunauthubutu wa kuhoji na kwamba tunaamini zito kasukiwa zengwe tu kisa uenyekiti.......tafakari, vp akijitokeza mwanaCDM mwingine mwenye nia kama yake ya kuutaka uwenyekiti, hekaya za usaliti hazitaendelea haswa kwa kuzingatia marehemu chacha wangwe yalishamkuta hayo hayo siku za nyuma?!
ngoja muone chama nakimini Cdm