Kumbe ndivyo mnavyomdanganya Zitto.Hizo ni habari ambazo msingi wake ni hisia zaidi huwezi kata tawi ulilokalia mbowe.
Ndg. wanajamvi,
Ni wazi kuwa huu msuguano ndani ya CHADEMA kuhusu kuvuliwa nyadhifa zote Bw. Zitto Kabwe ndani ya chama zitakoma.
Taarifa za kuaminika ni kwamba kikao kijacho cha Kamati Kuu (CC), pamoja na mambo mengine kitakuwa na agenda ya kumvua uanachama mwanasiasa huyo ambaye pia ni mbunge wa Kigoma Kaskazini.
Source: Gazeti la Raia Tanzania.
Hizo ni habari ambazo msingi wake ni hisia zaidi huwezi kata tawi ulilokalia mbowe.
Hizo ni habari ambazo msingi wake ni hisia zaidi huwezi kata tawi ulilokalia mbowe.
Hizo ni habari ambazo msingi wake ni hisia zaidi huwezi kata tawi ulilokalia mbowe.
Ndg. wanajamvi,
Ni wazi kuwa huu msuguano ndani ya CHADEMA kuhusu kuvuliwa nyadhifa zote Bw. Zitto Kabwe ndani ya chama zitakoma.
Taarifa za kuaminika ni kwamba kikao kijacho cha Kamati Kuu (CC), pamoja na mambo mengine kitakuwa na agenda ya kumvua uanachama mwanasiasa huyo ambaye pia ni mbunge wa Kigoma Kaskazini.
Source: Gazeti la Raia Tanzania.
Hakuna mtu wa kuweza kumfukuza Zitto pale CHADEMA.
Tunayasubiri hayo maamuzi kwa udi na uvumbaKamati kuu ilichelewa sana....Nitashukuru Mungu kama atafukuziwa mbali..
Wanachezea ndevu za simbaSubiri uone....Tutaftana hapa mkuu..
Ngoja tupo kwenye kikao cha ukoo huku moshi pamoja nakula sherehe za mwisho wa mwaka tukishatoka huku tutakuwa na maamuzi mazito. Kamati kuu ndio sisi .