Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,079
- 9,245
Afukuzwe ili akaimalishe safu ya kumpindua mwenyekiti wa Nccr kwa kushirikiana na Kafulila.
Unafikiri Mbatia Ni Mjinga?
Afukuzwe ili akaimalishe safu ya kumpindua mwenyekiti wa Nccr kwa kushirikiana na Kafulila.
Teh teh teh!kitakuwa kichekesho kama kutakuwa na ajenda iliyoandikwa ''kumfukuza zitto uanachama''.
Ni kweli kabisa Apigwe chini haraka iwezekanavyo,akiachwa ataharibu sana chama.Tena wamechelewa sana kumvua uanachama huyu dogo, ilibidi muda huu awe anaomba ubunge wa mahakama, mpigeni chini haraka hatakuwa na madhara yeyote, abaki akiwahutubia chadeccm kwa mikutano inayoratibiwa na mwigulu na nape
Sisi wengine hatujauona huo usalITi wa Zzt. Tunachokiona ni hofu ya Mbowe na Slaa zidi ya ZZT.tena bora wa mfukuze wasije wakamuua kama Chacha Wangwe.Hii CC ya CHADEMA haiendani na kasi ya mabadiliko ya nchi. Mtu ni msaliti na kila Mtanzania anajua hilo, lakini kumtimua hadi Mbowe afurahi, how come. Ndio maana wanahitajika viongozi wengi jasiri kama Lema ili mambo yaende. Bush alishasema No negotiations with terrorists, but CHADEMA wanataka negotiations na msaliti ambaye ni hatari kuliko terrorists
Subiri uone....Tutaftana hapa mkuu..
Kinafanyika lini hicho kikao...???Ndg. wanajamvi,
Ni wazi kuwa huu msuguano ndani ya CHADEMA kuhusu kuvuliwa nyadhifa zote Bw. Zitto Kabwe ndani ya chama zitakoma.
Taarifa za kuaminika ni kwamba kikao kijacho cha Kamati Kuu (CC), pamoja na mambo mengine kitakuwa na agenda ya kumvua uanachama mwanasiasa huyo ambaye pia ni mbunge wa Kigoma Kaskazini.
Source: Gazeti la Raia Tanzania.
Mtacheka saana na vicheko vyenu vya kipunga, lakini zzk atatimuliwa tu
Nitajie mtu mmoja tu
unayemuamini pale chadema anayeweza kusimama na kutoa hoja ya kumfukuza
zitto chadema!
Mmhh pagumu hapo,lakini nafikiri wamfukuze tu kwani walishaanza wanapaswa kumalizia ili sasa iwe BYEBYE CDM kwenye upinzani wa kweli, kibaki kuwa Chama/saccos cha/ya eneo/kabila fulaniHakuna mtu wa kuweza kumfukuza Zitto pale CHADEMA.
Ngoja tupo kwenye kikao cha ukoo huku moshi pamoja nakula sherehe za mwisho wa mwaka tukishatoka huku tutakuwa na maamuzi mazito. Kamati kuu ndio sisi .
Subiri uone....Tutaftana hapa mkuu..
Ngoja tupo kwenye kikao cha ukoo huku moshi pamoja nakula sherehe za mwisho wa mwaka tukishatoka huku tutakuwa na maamuzi mazito. Kamati kuu ndio sisi .
Mimi hapa niko pale chadema na ninaweza kusimama na kutoa hoja ya kumfukuza zitto chadema.Nitajie mtu mmoja tu unayemuamini pale chadema anayeweza kusimama na kutoa hoja ya kumfukuza zitto chadema!