Zitto kufukuzwa CHADEMA siku chache zijazo

Zitto kufukuzwa CHADEMA siku chache zijazo

naona mmeanzisha uzi wenyewe na kuchangia wenyewe haya bwana kwa raha zenu
 
Watu wakilala wakiamka wanamuwaza Zitto tu, siku kumi na nne zimepita hakuna kinachoeleweka ikibidi wafukuzeni wote chama hakitakosa wa kukiongoza. Sasa tuangalie mambo mengine tusonge mbele.
Ndg. wanajamvi,

Ni wazi kuwa huu msuguano ndani ya CHADEMA kuhusu kuvuliwa nyadhifa zote Bw. Zitto Kabwe ndani ya chama zitakoma.

Taarifa za kuaminika ni kwamba kikao kijacho cha Kamati Kuu (CC), pamoja na mambo mengine kitakuwa na agenda ya kumvua uanachama mwanasiasa huyo ambaye pia ni mbunge wa Kigoma Kaskazini.

Source: Gazeti la Raia Tanzania.
 
I said that " the CC is about to dispose the shits"

Who has to judge?......Answer is that.....We are being abide with our laws and regulations we fixed, and have been using them to test our credibility if we meet the tests we set, that is the way of any civilized institution.......

13564622-puzzled-confused-lost-signpost-shows-puzzling-problem.jpg
warning-mass-confusion-ahead.jpg
 
mwenye macho haambiwi tazama...

Hapo kwenye kanuni ndiyo hakuna kabsaaaaaaaa!

Kwa sbb zitto hana kosa,so kanuni zitamtema,ila kuna watu wawili hapo slaa na mbowe ndio wanataka watumie ubabe lakini pia hawana!
 
Hakuna mtu wa kuweza kumfukuza Zitto pale CHADEMA.

Mlisema hatasimamishwa uongozi, tahadhari usije yakana maneno yako, siku zote hamna mtu aliye juu ya taasisi na ikitokea ikawa hivyo basi jua taasisi hiyo ni mfu.
 
Ndg. wanajamvi,

Ni wazi kuwa huu msuguano ndani ya CHADEMA kuhusu kuvuliwa nyadhifa zote Bw. Zitto Kabwe ndani ya chama zitakoma.

Taarifa za kuaminika ni kwamba kikao kijacho cha Kamati Kuu (CC), pamoja na mambo mengine kitakuwa na agenda ya kumvua uanachama mwanasiasa huyo ambaye pia ni mbunge wa Kigoma Kaskazini.

Source: Gazeti la Raia Tanzania.


KWELI CHADEMA IMEKUFA RASMI.
KUMBE HAWAJADILI UTETEZI WA WAHUSIKA BALI WATAKWENDA KUPIGA KURA ZA KUWAFUKUZA.
HAHAHAHA
CHADEMA CHUMBANI NA SEBURENI MNA KAZI SANA MMEBAKI KUGAWANA HISA ZA KAMPUNI YENU.
 
Sawa yawezekana ni povu la Neema ya kumfanya zitto asifukuzwe na Manyang'au ya siasa!

Duh Pole sana Mkuu najua umeumia sana! Ila kwa kuwa ZZK ni jembe kwa nini usimshauri akajiunga na chama kisicho na manyang'au wa siasa au aanzishe chake aachane na sisi?? Vyama vipo vingi hata ccm aende akaonyshe umwamba wake!
 
umesomea wapi siasa wewe?mtu keshapeleka kesi mahakamani then azurure kuitangaza kesi wakati iko maakamani think twice,chadema wako smart watamtosa kama upepo

wewe ndio bure kabisa.

Kama swala la kuizungumzia case basi slaa ,lissu ,lema ,wenje ndio wana ongoza.

Tena huyu so called Dr.W.Slaa ndio alisema mjadala umefungwa lakini yeye ndio akaendelea na ngonjera hizi.
 
Last edited by a moderator:
Mshahara wa dhambi ni mauti . Zitto anafukuzika ila madhara yake ni makubwa sana.Acheni kujidanganya, mfukuzeni Zitto muone. Viongozi wa takaosalia ni watakatifu sana watatufikisha mbinguni.
 
BAADA ya ukoo kunywa kisusio HUKO machame,NI dhahiri ZITTO atafukuzwa,maanake RUZUKU ya Kuanzia January 2014,haipashwi kuhojiwa,sharti viherehere WOTE wa kuhoji watimuliwe MBALI,wabakizwe AKINA NDIYO bwana,
 
Wamfukuze kwa kosa lipi?-
wakimfukuza zitto ataenda mahakamani kudai arudishiwe uanachama wake

na wakati kesi ikiunguruma mahakamani zitto ataendelea kuzunguuka nchi nzima "kuongea na watanzania wenzake". Nadhani mnaujua uwezo wake wa kujenga hoja na ushawishi au siyo?.r

Matokeo yake nini?- chadema kupoteza imani kwa wananchi na hivyo kudhoofika, hali itakayopelekea waukose uraisi, na pia idadi ya wabunge ipungue, na hivyo ruzuku kupungua

lakini
katiba mpya inapita, na mwaka 2015 anagombea kama mgombea huru, mwishowe zitto ataibuka strong na hana cha kupoteza!.
Uanachama ataupata mahakamani, then atasubiri random time let us say 4 to 5 years, anarudi tena kwenye ranks za chadema wakati ambapo slaa keshajichokea, na mbowe wakati huo hana jipya!

Kumfukuza zitto ni ujuha, utakirudisha chama miaka mitano nyuma!

Hivi nani mfadhili wa ziara zake?? Au ndo yale mapesa aliyopewa na .....
 
I wish wamtimue kabla ya kuanza kwa mwaka mpya wa 2014... aende CCM wenye kugawa mali za watanzania kwa wageni...
 
Hamna mtu mwenye akili CDM kama zitto.
Kwako mwenye akili ni yule mwenye kupewa data za kulipua ubadhirifu wa EPA akaacha kulipua badala yake akaenda kuvuta mshiko kwa Ballali? Muulize ile Hammer aliipate? Buzwagi kavuta, Fedha za Rostam kala, alivuta fedha za Dowans, anaendelea kuvuta fedha za makampuni ya simu ya za mikononi wakwepa kodi wakuu! Kweli ana akili kama Maranda!!!! ...mwisho wa reli.... mataruma yanag'olewa soon...
 
Just like Omerta.

Those who know don't talk, those who talk don't know a thing.

It will be a cold day in hell
When CHADEMA Zitto will expel.
 
Back
Top Bottom