chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,013
Ndg. wanajamvi,
Ni wazi kuwa huu msuguano ndani ya CHADEMA kuhusu kuvuliwa nyadhifa zote Bw. Zitto Kabwe ndani ya chama zitakoma.
Taarifa za kuaminika ni kwamba kikao kijacho cha Kamati Kuu (CC) kati ya tarehe 3-4 Januari, pamoja na mambo mengine kitakuwa na agenda ya kumvua uanachama mwanasiasa huyo ambaye pia ni mbunge wa Kigoma Kaskazini.
Source: Gazeti la Raia Tanzania.
Ni wazi kuwa huu msuguano ndani ya CHADEMA kuhusu kuvuliwa nyadhifa zote Bw. Zitto Kabwe ndani ya chama zitakoma.
Taarifa za kuaminika ni kwamba kikao kijacho cha Kamati Kuu (CC) kati ya tarehe 3-4 Januari, pamoja na mambo mengine kitakuwa na agenda ya kumvua uanachama mwanasiasa huyo ambaye pia ni mbunge wa Kigoma Kaskazini.
Source: Gazeti la Raia Tanzania.