Zitto kufukuzwa CHADEMA siku chache zijazo

Zitto kufukuzwa CHADEMA siku chache zijazo

Sawa mkuu najua tutaonana hapa lakinj sio kwa ajili ya habari ya zitto kufukuzwa!

Nataka nikwambie jambo moja na narudia tena,hakuna mwanaume wa kuweza kumfukuza Zitto chadema,chukua mbowe jumlisha Slaa,zidisha na manyampala wote wakina sijui Saakumi,Ykocrei,na wengine wote bado hawawezi kumfukuza zitto,wanataka chama kisambaratike ikifuatiwa na vita,nakumbuka kuna wakati kuna mtu nchi hii haitatawalika,sasa naona amedhamiria kabisa isitawalike kwa kutaka kuanzisha vita.
Eti Zitto akitimuliwa itatokea vita, ni kituko cha mwaka nafikiri kitakuwa cha kufungia mwaka 2013.
 
Mbona wamechelewa sana? Nayasubiri maamuzi hayo nione kifo cha CDM kitakavyokuwa

Endeleeni kuota kifo cha CHADEMA mutakuja kuzinduliwa na vifijo na nderemo za CHADEMA siku ya kutinga magogoni.
 
Wamfukuze kwa kosa lipi?-
wakimfukuza zitto ataenda mahakamani kudai arudishiwe uanachama wake

na wakati kesi ikiunguruma mahakamani zitto ataendelea kuzunguuka nchi nzima "kuongea na watanzania wenzake". Nadhani mnaujua uwezo wake wa kujenga hoja na ushawishi au siyo?.

Matokeo yake nini?- chadema kupoteza imani kwa wananchi na hivyo kudhoofika, hali itakayopelekea waukose uraisi, na pia idadi ya wabunge ipungue, na hivyo ruzuku kupungua

lakini
katiba mpya inapita, na mwaka 2015 anagombea kama mgombea huru, mwishowe zitto ataibuka strong na hana cha kupoteza!.
Uanachama ataupata mahakamani, then atasubiri random time let us say 4 to 5 years, anarudi tena kwenye ranks za chadema wakati ambapo slaa keshajichokea, na mbowe wakati huo hana jipya!

Kumfukuza zitto ni ujuha, utakirudisha chama miaka mitano nyuma!
 
Hata mimi Pia bado nakula X mass huku Ipito-Sumbawanga, vp ww bado hujarudi kula xmass huko msoga?

kweli wewe hujitambui sumbawanga na CDM wapi na wapi?! si umeona hata arfi keshasepa unakumbuka sababu zilikuwa zp?!
 
Ndg. wanajamvi,

Ni wazi kuwa huu msuguano ndani ya CHADEMA kuhusu kuvuliwa nyadhifa zote Bw. Zitto Kabwe ndani ya chama zitakoma.

Taarifa za kuaminika ni kwamba kikao kijacho cha Kamati Kuu (CC), pamoja na mambo mengine kitakuwa na agenda ya kumvua uanachama mwanasiasa huyo ambaye pia ni mbunge wa Kigoma Kaskazini.

Source: Gazeti la Raia Tanzania.
nilimshauri sana Zitto Kabwe kupitia kwenye huu mtandao lakini kwa kuwa hakutaka kusikia na kufuata ushahuri wa gogo la shamba hilo litakapomfika ndio atajua kwamba sisi tunaona mbali na asijidanganye kwamba chadema itakufa bali itazidi kuonekana kwamba wana uwezo wa kufanya uamuzi mgumu ambao ccm hawawezi
 
Kudadadadeeeeki zao,
Hicho chama kimekuwa nini cha kumfanya kijana wa watu akose usingizi.
Hembu mfukuzeni hata leo hii tuone.
 
Hii CC ya CHADEMA haiendani na kasi ya mabadiliko ya nchi. Mtu ni msaliti na kila Mtanzania anajua hilo, lakini kumtimua hadi Mbowe afurahi, how come. Ndio maana wanahitajika viongozi wengi jasiri kama Lema ili mambo yaende. Bush alishasema No negotiations with terrorists, but CHADEMA wanataka negotiations na msaliti ambaye ni hatari kuliko terrorists

kamanda acha kukurupuka kama huyo lema uliyetutajia hapa - kwanza chama kilete vielelezo na ushahidi wa KUTOSHA juu ya usaliti wa zzk ili tujiridhishe na hatimaye tumhukumu kwa haki.
wengine tunauthubutu wa kuhoji na kwamba tunaamini zito kasukiwa zengwe tu kisa uenyekiti.......tafakari, vp akijitokeza mwanaCDM mwingine mwenye nia kama yake ya kuutaka uwenyekiti, hekaya za usaliti hazitaendelea haswa kwa kuzingatia marehemu chacha wangwe yalishamkuta hayo hayo siku za nyuma?!
 
Wamfukuze kwa kosa lipi?-
wakimfukuza zitto ataenda mahakamani kudai arudishiwe uanachama wake

na wakati kesi ikiunguruma mahakamani zitto ataendelea kuzunguuka nchi nzima "kuongea na watanzania wenzake". Nadhani mnaujua uwezo wake wa kujenga hoja na ushawishi au siyo?.

Matokeo yake nini?- chadema kupoteza imani kwa wananchi na hivyo kudhoofika, hali itakayopelekea waukose uraisi, na pia idadi ya wabunge ipungue, na hivyo ruzuku kupungua

lakini
katiba mpya inapita, na mwaka 2015 anagombea kama mgombea huru, mwishowe zitto ataibuka strong na hana cha kupoteza!.
Uanachama ataupata mahakamani, then atasubiri random time let us say 4 to 5 years, anarudi tena kwenye ranks za chadema wakati ambapo slaa keshajichokea, na mbowe wakati huo hana jipya!

Kumfukuza zitto ni ujuha, utakirudisha chama miaka mitano nyuma!

Kwa kubuni hujambo
 
PIga chini gamba mkubwa huyu na siasa zake za kihafidhina.

inavyoonekana hata neno kihafidhina unalitumia bila kujua maana yake - kifupi ni kwamba wahafidhina ni hao mabwana unaowatetea hapa, wasiotaka mabadiliko ndani ya chama!
waliokuwa tayari kunyofoa kipengele cha ukomo wa madaraka ya uenyekiti ndani ya katiba ya chama!!
 
Nyie misukule yake,ndio mmaomuharibia mwenzenu! atatimuliwa na hamtakuwa na cha kumsaidia.CDM IPO,ITAKUWEPO NA TUTAILINDA KWA NGUVU ZETU ZOTE!

na wewe ni msukule wa nani? kwa hiyo unadhani kila mtu anaunga mkono upuuzi ndani ya chama kama wewe?! neno 'msukule' linakufaa wewe zaidi usiye na uthubutu wa kuhoji maamuzi ya hovyo ndani ya chama!!!
 
Wamfukuze kwa kosa lipi?-
wakimfukuza zitto ataenda mahakamani kudai arudishiwe uanachama wake

na wakati kesi ikiunguruma mahakamani zitto ataendelea kuzunguuka nchi nzima "kuongea na watanzania wenzake". Nadhani mnaujua uwezo wake wa kujenga hoja na ushawishi au siyo?.

Matokeo yake nini?- chadema kupoteza imani kwa wananchi na hivyo kudhoofika, hali itakayopelekea waukose uraisi, na pia idadi ya wabunge ipungue, na hivyo ruzuku kupungua

lakini
katiba mpya inapita, na mwaka 2015 anagombea kama mgombea huru, mwishowe zitto ataibuka strong na hana cha kupoteza!.
Uanachama ataupata mahakamani, then atasubiri random time let us say 4 to 5 years, anarudi tena kwenye ranks za chadema wakati ambapo slaa keshajichokea, na mbowe wakati huo hana jipya!

Kumfukuza zitto ni ujuha, utakirudisha chama miaka mitano nyuma!

zitto kwishney.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom