Najaribu kulifuatilia Bunge katika maswali na majibu...Umiliki wa hisa asilimia 100% za Tigo na Wageni ni la msingi. Suala la uuzwaji wa hisa za serikali(?) Kabla ya uchaguzi Mkuu 2005 Kinyamera unatia shaka....Majibu ya NW ni ya kiubabaishaji... Swali linahusu 2005 na yeye anakazania sheria na Kanuni za mwaka 2010.