magode
JF-Expert Member
- Oct 2, 2014
- 2,190
- 3,284
Umofia kwenu.
Wanajamvi,
Nimesikiliza hotuba ya Rais wa awamu ya 4 Mh. Jakaya kikwete akikemea viongozi wa Dini kujihusisha na siasa.
Hotuba ya kikwete inakuja banda ya baraza la maaskofu katoliki Tanzania TEC kutoa waraka wa kupinga uuzwaji wa bandari.
Ni wazi Kikwete alikuja mbele kujibu ule waraka ili kutetea hii serikali iliyofitinika. Najua kikwete anapita Sana hapa jamvini. Nataka nimpe ushauri mdogo tu kuhusiana na hiki anachojaribu kufanya.
Kikwete lazima ajue kwamba, kwa miaka yake 10 ya uongozi wa Taifa letu ndiye rais aliyeboronga zaidi kuliko wote. Huyu ndiye kiongozi ambaye neno ufisadi lilishamiri zaidi kuliko wakati mwingine. Kinachomfanya kikwete mpaka apate nguvu ya kusimama jukwaani ni kiburi tu. Ukweli kikwete ndiye kiongozi anayechukiwa zaidi hapa nchini.
Namsihi Sana kikwete, akae kimyaa km alivyowahi kushauriwa na uv-ccm wakati wa utawala wa mwendazake. Kikwete asifikiri kwamba watanzania bado ni wajinga. Akumbuke kwamba kikwete ndiye kiongozi ambaye kwenye uchaguzi wa 2005 alibeba matumaini makubwa Sana ya watanzania. Lkn tofauti na matarajio ya wengi kikwete AKATUANGUSHA! mwaka 2010 tukamuonyesha Kama tunamchukia kwenye sanduku la kura. Isingekuwa bao la mkono kikwete angeishia awamu moja.
Kikwete km mstaafu aliyechangia kutuharibia hii nchi. Akae atulie alee wajukuu zake ili angalau ile heshima kidogo iliyobaki aibakize. Watanzania hawataki uuzwaji wa bandari. Kitendo cha kikwete kuja front kinathibitisha kwamba hili si jambo Jema hata kidogo.
Tunajua udhaifu wa awamu ya 6. Atuachie watanzania wenyewe tutapambana nao kwenye la bandari na rasirimali zingine za nchi yetu. Nawasilisha.
Wanajamvi,
Nimesikiliza hotuba ya Rais wa awamu ya 4 Mh. Jakaya kikwete akikemea viongozi wa Dini kujihusisha na siasa.
Hotuba ya kikwete inakuja banda ya baraza la maaskofu katoliki Tanzania TEC kutoa waraka wa kupinga uuzwaji wa bandari.
Ni wazi Kikwete alikuja mbele kujibu ule waraka ili kutetea hii serikali iliyofitinika. Najua kikwete anapita Sana hapa jamvini. Nataka nimpe ushauri mdogo tu kuhusiana na hiki anachojaribu kufanya.
Kikwete lazima ajue kwamba, kwa miaka yake 10 ya uongozi wa Taifa letu ndiye rais aliyeboronga zaidi kuliko wote. Huyu ndiye kiongozi ambaye neno ufisadi lilishamiri zaidi kuliko wakati mwingine. Kinachomfanya kikwete mpaka apate nguvu ya kusimama jukwaani ni kiburi tu. Ukweli kikwete ndiye kiongozi anayechukiwa zaidi hapa nchini.
Namsihi Sana kikwete, akae kimyaa km alivyowahi kushauriwa na uv-ccm wakati wa utawala wa mwendazake. Kikwete asifikiri kwamba watanzania bado ni wajinga. Akumbuke kwamba kikwete ndiye kiongozi ambaye kwenye uchaguzi wa 2005 alibeba matumaini makubwa Sana ya watanzania. Lkn tofauti na matarajio ya wengi kikwete AKATUANGUSHA! mwaka 2010 tukamuonyesha Kama tunamchukia kwenye sanduku la kura. Isingekuwa bao la mkono kikwete angeishia awamu moja.
Kikwete km mstaafu aliyechangia kutuharibia hii nchi. Akae atulie alee wajukuu zake ili angalau ile heshima kidogo iliyobaki aibakize. Watanzania hawataki uuzwaji wa bandari. Kitendo cha kikwete kuja front kinathibitisha kwamba hili si jambo Jema hata kidogo.
Tunajua udhaifu wa awamu ya 6. Atuachie watanzania wenyewe tutapambana nao kwenye la bandari na rasirimali zingine za nchi yetu. Nawasilisha.