Sitta leo ndo kashika mpini wa Pinda nini?
wiki hii haipit bure lazma atafyatuka!
Sitta leo ndo kashika mpini wa Pinda nini?
Sio tarbia ya kiusaliti BALI ANAJIAMINI SANA KWA YALE ANAYOAMINI NI SAWA KWAKE.
Kijana mzuri sana na wangepatikana wabunge 15 wenye tarbia kama zake basi Tz mngekuwa pazuri sana. Kwani yeye si miongoni mwa wale wa kusubiri kulishwa.
Hongera Zitto
Hata mie nilishtuka! Barubaru ndani ya nyumba tena.Barubaru umeibuka tena mkuu,
Ukisikia Zitto amaguswa ni sawa na kusikia cuf imeguswa, lazima utie neno.!!! Kumbe wabunge wenu wa cuf wanalishwa? kuku wa kisasa!!? Nadhani huko mbele ya safari utahamia chadema tu, kumkubali Zito ndio mwanzo wa safari yenyewe.
Zito ana uwezo mzuri sana Tatizo lake anadhani yuko pale kama yeye na si Chama na viongizi wenzake pamoja na wanachama. kwa ujumla ana katabia kausaliti sometimes.
Inaonekana katika wabunge 300 ni Zitto anayetumia muda wake kujisomea na kufanya tathmini ya hali ya sasa
Kweli JF kuna wahuniIpelekwa jukwaa la wakubwa.