Zitto - Kamati ya madini - CHADEMA

Ndugu Mnyika,
Heshima yako mkuu,asante sana kwa kuja hapa jamvini kuweka mambo balanced maanake nimeona spinning ya kitoto kwenye hilo gazeti.Kwa hii taarifa yao sioni kama kiutendaji linatofautiana na magazeti ya udaku.

Mkuu,ndio maana nikaseama hapo juu Chadema ni chama chenye Demokrasia inayomruhusu mtu kutoa mawazo bila kuketishwa chini kama wale wa CCM bungeni.Unajua katika kuaangalia mbali tukitaka kujua chama makini kinachohubiri demokrasia ya kweli tukiangalie jinsi kinavyoendesha mambo yake ya ndani kwanza,leo hii Chadema iliyojizoesha kutoa uhuru wa mawazo kwa viongozi na wanachama wake hat siku moja ikichukua Dola haitaogopa tena kukabiliana challenge zitakazoletwa na wabunge wake au na wananchi au kutoa uhuru huo kwa wananchi.Demokrasia ya nchi yetu imedumaa kwa sababu CCM wenyewe hawana demokrasia ndani yao unadhani watawezaje kutoa demokrasia kwa watu wa nje?
 
kesho ni siku ya vijana Duniani,UVVCM wameandaa kongamano la vijana litakolofanyika pale katika ukumbi wa ubungo plaza kuanzia saa tatu asubuhi mpaka saa 8 mchana,kutakuwa na wasomi ambao wataelezea sera ya maisha bora kwa kila Mtanzania...nyote mnakaribishwa
 
kesho ni siku ya vijana Duniani,UVVCM wameandaa kongamano la vijana litakolofanyika pale katika ukumbi wa ubungo plaza kuanzia saa tatu asubuhi mpaka saa 8 mchana,kutakuwa na wasomi ambao wataelezea sera ya maisha bora kwa kila Mtanzania...nyote mnakaribishwa

Tunaruhusiwa kuhudhuria wenye umri wa zaidi ya miaka hamsini?

Tutaruhusiwa kuuliza maswali?

Watoa mada ni kina nani?maana wa CHADEMA waliwekwa hapa jamvini jana wa CCM ni kina nani?ili tuweze kuandaa maswali kulingana na uzito wao ,kama kuna fisadi turudi kusoma tuhuma za DR.SLAA then tupate cha kuwauliza.
 
hakuna cha umri,nyote mnakaribishwa..mie sina information za ziada,kama vp mtafute AMOS makala !
FD kimeshaeleweka,tukutane ROMBO VIEW..
 
..mimi nafikiri Zitto hafai kuwepo kwenye hiyo Kamati kwasababu hana utaalamu na masuala ya madini na mikataba. huyu amewekwa huko apoozwe kwa pesa za posho.

..we needed our best brains in the field kuwemo kwenye hiyo Kamati.
 
Nimeandika leo kwenye Tanzania Daima kwanini binafsi naamini Zitto hastahili kuwemo kwenye Kamati hiyo ingawa kwa sababu tofauti na hizo za Wangwe. Ni makala ndefu kidogo na nimeonesha kuwa Watanzania wawe na matumaini zaidi na Kamati Teule ya Bunge kuliko hiyo ya Rais!!!

Mwanakijiji naomba nikuulize wewe pasonali !
Binasfi nafahamu kabisa kwamba zitto hana utaalamu wa mambo ya madini na yeye mwenyewe anafahamu hilo, sasa baada ya kupewa nafasi hiyo (kama mjumbe nafikiri) unadhani akikataa itakuwaje ? si ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wake, yaani in short atajichafulia jina ! lakini move anayotakiwa kufanya ni kukubali kuwepo humo ndani, na tusubiri tuone itakavyokuwa !
 
Nimeandika leo kwenye Tanzania Daima kwanini binafsi naamini Zitto hastahili kuwemo kwenye Kamati hiyo ingawa kwa sababu tofauti na hizo za Wangwe. Ni makala ndefu kidogo na nimeonesha kuwa Watanzania wawe na matumaini zaidi na Kamati Teule ya Bunge kuliko hiyo ya Rais!!!

Mwanakijiji naomba nikuulize wewe pasonali !
Binasfi nafahamu kabisa kwamba zitto hana utaalamu wa mambo ya madini na yeye mwenyewe anafahamu hilo, sasa baada ya kupewa nafasi hiyo (kama mjumbe nafikiri) unadhani akikataa itakuwaje ? si ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wake, yaani in short atajichafulia jina ! lakini move anayotakiwa kufanya ni kukubali kuwepo humo ndani, na tusubiri tuone itakavyokuwa !
 
Nimeandika leo kwenye Tanzania Daima kwanini binafsi naamini Zitto hastahili kuwemo kwenye Kamati hiyo ingawa kwa sababu tofauti na hizo za Wangwe. Ni makala ndefu kidogo na nimeonesha kuwa Watanzania wawe na matumaini zaidi na Kamati Teule ya Bunge kuliko hiyo ya Rais!!!

Mwanakijiji naomba nikuulize wewe pasonali !
Binasfi nafahamu kabisa kwamba zitto hana utaalamu wa mambo ya madini na yeye mwenyewe anafahamu hilo, sasa baada ya kupewa nafasi hiyo (kama mjumbe nafikiri) unadhani akikataa itakuwaje ? si ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wake, yaani in short atajichafulia jina ! lakini move anayotakiwa kufanya ni kukubali kuwepo humo ndani, na tusubiri tuone itakavyokuwa !
 
Kada kompyuta imepata kifafa... ? kujibu swali lako kirahisi ni kuwa hakitakuwa kitu zaidi ya kujiweka neutral kwa suala ambalo tayari tunajua msimamo wake.
 
akikaa nyutro unadhani itamsaidia kumjenga kisiasa ama kumbomoa ??

nasubiri jibu lako kwa hamu !
 
Hatakiwa kuwa neutral, anataka awe nje ya Kamati na halafu atoe maoni yake kwenye Kamati. Vinginevyo wamuingize Mudhihir Mudhihir na Karamagi kwenye hiyo Kamati!
 
Zitto alithubutu kusema ndani ya Bunge kitu gani kitamfanya akae kimya na kuburutwa ndani ya kamati hiyo ya madini?

Kuteuliwa kwenye kamati hiyo hakuna maana kwamba kachumbiwa na SISIEMU, najua fika kwamba hiyo ni janja ya President kumkaribisaha jikoni ili ajenge tamaa ya kudokoa.

Huyu ni kijana msomi wa kizazi kipya mpeni hiyo Golden Chance amwage vitu.

Sidhani kijana huyu agenda yake ni kutajirika kifisadi.

Kama President kamweka kwenye kamati ili ammalize asubiri atakavyo wachemsha vilaza wasiofanya H/W ndani ya hiyo kamati.

Mbona wenyewe watamwomba Rais atengue uteuzi wake Zitto!!!

Ili usonge ugali kwenye meko ya mafiga matatu shurti usogee karibu na moto na moshi ni halali yako.
 
Zitto alithubutu kusema ndani ya Bunge kitu gani kitamfanya akae kimya na kuburutwa ndani ya kamati hiyo ya madini?

Kuteuliwa kwenye kamati hiyo hakuna maana kwamba kachumbiwa na SISIEMU, najua fika kwamba hiyo ni janja ya President kumkaribisaha jikoni ili ajenge tamaa ya kudokoa.

Huyu ni kijana msomi wa kizazi kipya mpeni hiyo Golden Chance amwage vitu.

Sidhani kijana huyu agenda yake ni kutajirika kifisadi.

Kama President kamweka kwenye kamati ili ammalize asubiri atakavyo wachemsha vilaza wasiofanya H/W ndani ya hiyo kamati.

Mbona wenyewe watamwomba Rais atengue uteuzi wake Zitto!!!

Ili usonge ugali kwenye meko ya mafiga matatu shurti usogee karibu na moto na moshi ni halali yako
.

HIZI NI FACTS AMA NI HISIA ZAKO TU ????
MAANA HATA MIE NINA HISIA ZANGU VILE VILE NAWEZA NIKAZIMWAGA HAPA KUTOKANA NA ULICHOSEMA !
 
akikaa nyutro unadhani itamsaidia kumjenga kisiasa ama kumbomoa ??

nasubiri jibu lako kwa hamu !

Hatakiwa kuwa neutral, anataka awe nje ya Kamati na halafu atoe maoni yake kwenye Kamati. Vinginevyo wamuingize Mudhihir Mudhihir na Karamagi kwenye hiyo Kamati!

mbona jibu la swali nililokuuliza silioni ?
'afu zitto alitoa stetimenti kusema kwamba anataka awe nje ya kamati ??
 
Kada soma makala yangu kwenye Tanzania Daima leo labda utaelewa nimesema nini kuhusu Zitto kuwa nje ya Kamati. Its not the question of neutrality but the question of impartiality.. He is not impartial...
 
Kada soma makala yangu kwenye Tanzania Daima leo labda utaelewa nimesema nini kuhusu Zitto kuwa nje ya Kamati. Its not the question of neutrality but the question of impartiality.. He is not impartial...

haya bana, but still you didnt answer !
nakuuliza swali JF unanielekeza niende kutafuta jibu sehemu nyingine !
 
Kada, nimekuelekeza kwa sababu naona unahukumu bila kujua nimesema nini. Ungesoma nilichoandika usingeuliza swali hilo ama sivyo nitakuwa na kazi ya kujibu kitu tayari nimeshakifafanua. Kujirudia rudia huko kunaweza kunipa kizunguzungu na matokeo yake nikajikuta nimepoteza fahamu!!
 
Back
Top Bottom