Kiongozi Mkuu wa ACT Tanzania ameandika ujumbe kwenye fb yake,ujumbe huu unaonekana kumtia moyo January Makamba kuhusu masaibu yanayomkuta....Ikumbukwe kwamba Zito hajawahi kumsema vibaya Makamba,hata figisu zake wakati wa uchaguzi hakuzikemea.UJUMBE wake "...the anger or jealousy of one
man could block the advance of
a political career... BUT Politics is
for long distance runners, not
sprinters. Victory is certain
comrade".Zito pia aliwahi kumtaja January kama hazina kubwa kwa Taifa,namnukuu "January Makamba, ni mmoja ya
Hazina kubwa sana ndani ya
chama cha mapinduzi. Na
nadhani kama wakimuandaa
vizuri anaweza kuja kuwa Lulu
ya chama cha mapinduzi.
Muhimu ni kuhakikisha ya
kwamba anapata majukumu
ambayo yatamkomaza zaidi
kiuongozi na kuwa tayari
kuweza kufanya majukumu
makubwa zaidi katika nchi
yetu".