Zitto Kabwe yuko kimya ishu ya January Makamba

Zitto Kabwe yuko kimya ishu ya January Makamba

ben ninafahamu sana kuwa uko upande wa zzk, na sio dhambi kwani siasa sio vita, ushauri wangu kwako tunapofika kwenye mambo yenye maslahi mapana ya taifa ushoga ukae pembeni, ikiwezekana usiwe mwepesi wa kuchangia jambo hasa lenye mwelekeo wa kutetea uchafu kabla mtuhimiwa hajajitetea mwenyewe. najua una ndoto kubwa na sifa ya mtu hujengwa kwa mda mrefu japo huhatibika kwa sekunde..angalia sana unayo yaamini na kuyasimamia, mwache zzk aeleze mwenyewe alichokusudia kukisema
Umeongea vyema
 
Kiongozi Mkuu wa ACT Tanzania ameandika ujumbe kwenye fb yake,ujumbe huu unaonekana kumtia moyo January Makamba kuhusu masaibu yanayomkuta....Ikumbukwe kwamba Zito hajawahi kumsema vibaya Makamba,hata figisu zake wakati wa uchaguzi hakuzikemea.UJUMBE wake "...the anger or jealousy of one
man could block the advance of
a political career... BUT Politics is
for long distance runners, not
sprinters. Victory is certain
comrade".Zito pia aliwahi kumtaja January kama hazina kubwa kwa Taifa,namnukuu "January Makamba, ni mmoja ya
Hazina kubwa sana ndani ya
chama cha mapinduzi. Na
nadhani kama wakimuandaa
vizuri anaweza kuja kuwa Lulu
ya chama cha mapinduzi.
Muhimu ni kuhakikisha ya
kwamba anapata majukumu
ambayo yatamkomaza zaidi
kiuongozi na kuwa tayari
kuweza kufanya majukumu
makubwa zaidi katika nchi
yetu".
Makamba na zzk wote ni wanafiki wakubwa hivyo wanajuwana
 
Kupeana moyo si kipindi hiki hata kidogo.
 
We mchange nenda kwa mangekimambi akupe darasa wewe unaonekana huelewi kinachoendelea kwa watu wanaojuana kinagaubaga.kaa chonjo hii game tafu tena inapendeza maana mange ndo yule yule aliyekua upande wa ccm kwa kuleta madongo kwa mgombea wa ukawa so msijidai mnasingizia ni ukawa ama bavicha.ila kwa kua upele umepata mkunaji basi nasi twakuna vizuri ila master wa game si mzungu tena ni mange na sijui mtampozaje maana kaamua liwalo na liwe
Kama mbwai iwe mbwai
Cc mchange @ act
 
Mataliano kashamaliza lengo lake kulipwa ela je mange kamaliza lengo lake Na jua mataliano alimpa kila kitu mange ili mange awe mkombozi wake hapo ndipo makamba family watakapochafuka maana mange atatoa adi mawasiliano ya mtaliano na yeye picha bado mbichi Na mange Na makamba family hazi ivi wanaugomvi mange afai kuombwa atulie refer ya Dr mwaka alivyomuumbua lemutz
 
zito mnafiki sana , muacheni january aabdike mwenyewe maneno kama ayo kwenye timeline yake ya fb, twitter, instagram etc.
 
Aondoke akaimarishe chama chao cha mafisadi
 
Back
Top Bottom