Hao ni wapiga dili wawili wanajuana. Wapiga dili wazuri sana na wanakula kichini chini hamna mfanoKiongozi Mkuu wa ACT Tanzania ameandika ujumbe kwenye fb yake,ujumbe huu unaonekana kumtia moyo January Makamba kuhusu masaibu yanayomkuta....Ikumbukwe kwamba Zito hajawahi kumsema vibaya Makamba,hata figisu zake wakati wa uchaguzi hakuzikemea.UJUMBE wake "...the anger or jealousy of one
man could block the advance of
a political career... BUT Politics is
for long distance runners, not
sprinters. Victory is certain
comrade".Zito pia aliwahi kumtaja January kama hazina kubwa kwa Taifa,namnukuu "January Makamba, ni mmoja ya
Hazina kubwa sana ndani ya
chama cha mapinduzi. Na
nadhani kama wakimuandaa
vizuri anaweza kuja kuwa Lulu
ya chama cha mapinduzi.
Muhimu ni kuhakikisha ya
kwamba anapata majukumu
ambayo yatamkomaza zaidi
kiuongozi na kuwa tayari
kuweza kufanya majukumu
makubwa zaidi katika nchi
yetu".
Dah aisee umetisha,hamia Afghanistan au Syria tu mkuu maana hakuna namnaHazina ya kupiga madili? Tanzania mwanitesa. Manchester United mwanitesa. Simba mwanitesa. Niende wapi mimi?
Kiongozi Mkuu wa ACT Tanzania ameandika ujumbe kwenye fb yake,ujumbe huu unaonekana kumtia moyo January Makamba kuhusu masaibu yanayomkuta....Ikumbukwe kwamba Zito hajawahi kumsema vibaya Makamba,hata figisu zake wakati wa uchaguzi hakuzikemea.UJUMBE wake "...the anger or jealousy of one
man could block the advance of
a political career... BUT Politics is
for long distance runners, not
sprinters. Victory is certain
comrade".Zito pia aliwahi kumtaja January kama hazina kubwa kwa Taifa,namnukuu "January Makamba, ni mmoja ya
Hazina kubwa sana ndani ya
chama cha mapinduzi. Na
nadhani kama wakimuandaa
vizuri anaweza kuja kuwa Lulu
ya chama cha mapinduzi.
Muhimu ni kuhakikisha ya
kwamba anapata majukumu
ambayo yatamkomaza zaidi
kiuongozi na kuwa tayari
kuweza kufanya majukumu
makubwa zaidi katika nchi
yetu".
haah haah Simba inakutesaje mkuuHazina ya kupiga madili? Tanzania mwanitesa. Manchester United mwanitesa. Simba mwanitesa. Niende wapi mimi?
Weeee we waarab unaona ni watu wale??? Waarab nusu shetani na nusu binadamuDah aisee umetisha,hamia Afghanistan au Syria tu mkuu maana hakuna namna
Ahh nimejikwaa kumbe Simba leo mambo mazurihaah haah Simba inakutesaje mkuu
wanafk wawl wana nafikiana
hao ndo bavicha kama ulikua huwajui.....majungu kwao tijaSasa hapo ukajuaje anaongelewa makamba?