IkuluKwetu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 535
- 394
Walewale tu
ukiwa na akili ndogo na isiyoweza hata kufikiri ndio unaweza kudhani Zitto ameshuka. Hakuna shida kujivua nguo kwa kufuata mkumbo.. Wakati mwingine hata kunyamaza ni Majibu tena mazuri tu.hahahahahaaaa zito naye ameshuka chini kisiasa anataka kujipandisha tena uwiii amebugiii
Acha kusema vitu usivyonauhakika navyo mkuu pili huyo Mange atamshtaki vipi wakati hayuko kwenye nchi ya TanzaniaKama kweli kachafuliwa na waliomchafua wapo na wamekiri ni uchafu tu, Makamba awachukulie hatua za kisheria mambo yakaishie mahakamani, sio swala la kusameheana, tunajuaje kama wamepewa walivyokuwa wanadai? Muitaliano anadai hela zake, January alituambia Mange anataka urafiki na dadake baada ya urafiki wao wa awali kufa, bila kufikishana mbele tunajua makambas wamelipa hela muitaliano hana haja na makamba bali hela yake, lazima akae pembeni, January kacahfuka hata akioga hatakiwi kwenda mjini amechelewa gari imeondoka.
Hao Lumumba unawajua ama na wewe umegeuka kuwa mlopokaji kama MangeLumumba mnamsafisha
Kama kweli kachafuliwa na waliomchafua wapo na wamekiri ni uchafu tu, Makamba awachukulie hatua za kisheria mambo yakaishie mahakamani, sio swala la kusameheana, tunajuaje kama wamepewa walivyokuwa wanadai? Muitaliano anadai hela zake, January alituambia Mange anataka urafiki na dadake baada ya urafiki wao wa awali kufa, bila kufikishana mbele tunajua makambas wamelipa hela muitaliano hana haja na makamba bali hela yake, lazima akae pembeni, January kacahfuka hata akioga hatakiwi kwenda mjini amechelewa gari imeondoka.
Bavicha maskinii walikomaliaaaaa weeee, sasa hawana hoja tena! Maskini weee, aibu sana bavicha! Hivi hamuoni anguko la chadema?? Kila mnaposhika ni bakora tu!Jamaa kapata pesa zake ndio mahna kaamua kuyamaliza yule mzungu
Kwan mange kimambi ni chadema? Acha kupata homa ya Wenger kijanaBavicha maskinii walikomaliaaaaa weeee, sasa hawana hoja tena! Maskini weee, aibu sana bavicha! Hivi hamuoni anguko la chadema?? Kila mnaposhika ni bakora tu!
Either way, kama money talked then money talked in favour of comrade J. Makamba, yule jamaa wa upande wa pili alijaribu kutumia pesa kwenda ikulu zika back fire mbaya mpaka shamba likauzwa, wapiiiii!! Matumizi ya pesa yanataka BRAINS pia.mnasafishana tu, kwenden zenu kule, kama ni tapel bas atabak kuwa tapel tu, achen kutetea ujinga
Ni wapi nimemtaja Kimambi na ni wapi nimesema yeye ni chadema au sisiemu?Kwan mange kimambi ni chadema? Acha kupata homa ya Wenger kijana
Mange asishtakiwe kwa sababu hayuko nchini? sheria ya mtandao inahusu watanzania waklio ndani ya nchi tu? Utakuwa mgeni na haya maswala mbona ze utamu alipatikana huko ughaibuni na akarudishwa nchini? Huyu January hata akirudi utoto aogeshwe na mama ake kwenye karai hasafishiki tena.Acha kusema vitu usivyonauhakika navyo mkuu pili huyo Mange atamshtaki vipi wakati hayuko kwenye nchi ya Tanzania
Anataka akupakate.Kwan mbowe kasemaje?!
Inaelekea ww unapakatwa sanaAnataka akupakate.