Zitto Kabwe yuko kimya ishu ya January Makamba

Zitto Kabwe yuko kimya ishu ya January Makamba

Unamaanisha kuondoka kwa Dau NSSF ni pigo kwa Zito?
Maana yangu ni moja tu: Makamba na Zitto ni wapiga dili na wasikudanganye hata siku moja eti wanataka kubadilisha kitu kwenye maisha ya watanzania. Najua karibu wanasiasa wote wa kiafrika wanapopata chance hujaribu kuiba, lakini kuna wale amabo wako kwenye siasa kujikweza wao tu. Basi hao wawili ni pacha. Lakini kwa bwana Magufuli wanaweza kuishia pabaya kwani yeye ni mtu wa kiasi na ana uchungu wa kweli na umaskini wetu. Zitto sasa anasikika sana akimkosoa Magufuli. Wakati wa Kikwete ulishawahi kusikia anamsema vibaya?
 
Tangu lini zito akawa msemaji wa makamba
 
K
Maana yangu ni moja tu: Makamba na Zitto ni wapiga dili na wasikudanganye hata siku moja eti wanataka kubadilisha kitu kwenye maisha ya watanzania. Najua karibu wanasiasa wote wa kiafrika wanapopata chance hujaribu kuiba, lakini kuna wale amabo wako kwenye siasa kujikweza wao tu. Basi hao wawili ni pacha. Lakini kwa bwana Magufuli wanaweza kuishia pabaya kwani yeye ni mtu wa kiasi na ana uchungu wa kweli na umaskini wetu. Zitto sasa anasikika sana akimkosoa Magufuli. Wakati wa Kikwete ulishawahi kusikia anamsema vibaya?
Zitto yupo bize kumkosoa Magu wa Watanzania habari ya rafiki yake kutapeli hayupo kwa sababu wanaitwa ZAFANANA
 
Ni wapi nimemtaja Kimambi na ni wapi nimesema yeye ni chadema au sisiemu?
Akili za kuku wa nyama hizi!
Umesema chadema walibebea bango issue ya makamba wakati mange ndio muhusika mkuu tena toka CCM Ficha ujinga wako mtt wa Wenger
 
Tunayoyasikia kuhusiana na January ni kielelezo cha njia nyingine ya viongozi wa kisiasa wanavyopata hela za haramu kwa njia tofauti. leo hii mmoja tuhuma zake zimeanikwa,wapo wengi wanatembea vifua mbele kwakuwa siku zao za kuumbuka hazijafika.

Nimeingiwa na mashaka ninavyoshuhudia ukimya wa ZZK,mara zote yupo online na anakuwa wa kwanza kuzungumzia maswala ya maadili yanaposiginwa na viongozi.

Najiuliza kwanini amekuwa kimyaa kwenye hili sakata.Ajitokeze tujue msimamo wake na chama chake.Tunaamini yeye ni kijana wa kupigiwa mfano kwa maneno na vitendo.Urafiki haupo kwenye ukweli naamini.
Kwenye issue hii ukimuwakilisha ni sawa vilevile!
 
Dah kweli Zitto anakubalika! Yani jamaa hata asiposema kitu,watu wanataka aseme! Aisee
Wanamkubali kiaina...ukawa unafiki mtu akiwa nje wanajifanya wanamchukia Zitto ila wakijifungia ndani ndio reference kwa issue zao.
 
Back
Top Bottom