habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,752
Ha ha ha mkuu ndo nini sasa hiii?Dada katafunwa na bado muitaliano anataka pesa yake.

Ha ha ha mkuu ndo nini sasa hiii?Dada katafunwa na bado muitaliano anataka pesa yake.

Tangulia aheraHazina ya kupiga madili? Tanzania mwanitesa. Manchester United mwanitesa. Simba mwanitesa. Niende wapi mimi?
Waarab sio watu wale...kwani wakoje ?
Ahh nimekumbuka kile kipigo cha Yanga... Yule banda fala kweli.. mtu unakadi ya njano halafu unacheza kizembe kiasi kile??Simba ipi inayokutesa?? Labda simba ya mitaa ya twiga ila sio ya msimbazi! Inaongoza ligi simba wewe! Ndoo inabeba!
ndo wapi hapo unikaribishe?Tangulia ahera
Kosa kubwa alilolifanya ni la ku engineer interview yake mwenyewe na kujitengezea maswali yake mwenyewe na kujichanganya mwenyewe kwa kujieleza dakika 10 kwa mwandishi aliyejitambulisha kiurahisi kwa jina moja bila hata kutaja chombo anachokiandikia, au sio ?Hakuna kibaya alichoandika.I'm sure tungejua kilichopo nyuma ya pazia na kitakachoendelea wiki ijayo baadhi ya comments zingekuwa tofauti.
January amefanya kosa kubwa Jana na akiendelea kulifanya Kesho itakua .........
Haya Magufuli nae atapata chance.
Ben SaananeHakuna kibaya alichoandika.I'm sure tungejua kilichopo nyuma ya pazia na kitakachoendelea wiki ijayo baadhi ya comments zingekuwa tofauti.
January amefanya kosa kubwa Jana na akiendelea kulifanya Kesho itakua .........
Haya Magufuli nae atapata chance.
Kama umesoma magezeti ya Jumapili Zitto ameibuka na story ya Magufuli kuwa halipi kodi. Zitto alijuwa kuna uwezekano wa magezeti kubeba story ya January hivyo akatoka na single ya mshahara wa rais na kodi akidhani kuwa ataweza kuhamisha mada.
Kosa kubwa alilolifanya ni la ku engineer interview yake mwenyewe na kujitengezea maswali yake mwenyewe na kujichanganya mwenyewe kwa kujieleza dakika 10 kwa mwandishi aliyejitambulisha kiurahisi kwa jina moja bila hata kutaja chombo anachokiandikia, au sio ?
Sidhani kama February ana roho ngumu kama ya bwana Kabwela. Anyway, ukisoma vizuri na kumuelewa alichoandika bwana ACT ni kwamba bwana February akubali kwamba ameharibiwa political career kwa vitendo vyake na Muitaliano na anapaswa kujipanga ki upya kwa ajili ya mbio ndefu zijazo na sio hizi sprints za muda mfupi.Familia ya Makamba jana haikuwa sawa hata kidogo, ilichanganyikiwa na kujikuta wakitoka na maamuzi ya kujikaanga zaidi.
Wametumia pesa nyingi sana kupoza watu waizime issue mitandaoni lakini pesa nayo imezama na bado issue iko moto vilevile.
Mwisho wanakumbuka kukubali kumlipa Mtaliano, lakini bado Mange ana kila kitu cha kuwamaliza. Sasa wanataka kumnunua Mange.
Nalo ni zoezi gumu sana coz Mange hataki pesa coz anaona atajiharibia kwa jamii inayomuamini. Kwa hiyo ngoma imekuwa ngumu.
Fikiria, walitumia pesa nyingi sana kuzima issue ili wasimlipe Mtaliano, lakini mwishowe wanamlipa. Hata hivyo, kuna Kitu kizito cha safari yao ya pamoja ya Dubai.
Na hiyo ndio inayowatia tumbo joto zaidi, Magu anajua kila kitu na bado hajasema chochote ila katuma salam kwa kumtumbua Sefue.
Hii wiki haitaisha salama kwa January. Na hata Zitto anajua na ndio maana yanaanza kutolewa maneno ya kutiana moyo.
Ova
Sidhani kama February ana roho ngumu kama ya bwana Kabwela. Anyway, ukisoma vizuri na kumuelewa alichoandika bwana ACT ni kwamba bwana February akubali kwamba ameharibiwa political career kwa vitendo vyake na Muitaliano na anapaswa kujipanga ki upya kwa ajili ya mbio ndefu zijazo na sio hizi sprints za muda mfupi.
Hahaha chama chenye mbunge mmoja kama taa ya treni ya kwenda kigoma, hio comment yako sitaisahau mkuunilipomuona Mchange na andiko lake nikajua muda si mrefu kiongozi mkuu atatia timu .
I see.....kumbe ulikuwa mpango maalum?Kama umesoma magezeti ya Jumapili Zitto ameibuka na story ya Magufuli kuwa halipi kodi. Zitto alijuwa kuna uwezekano wa magezeti kubeba story ya January hivyo akatoka na single ya mshahara wa rais na kodi akidhani kuwa ataweza kuhamisha mada.
Gwajima katengeneza "manabii"..wengi sana,hakika Januari anaandaliwa kuwa mtu muhimu Ukawa 2025,kipindi hicho hatuta zungusha mikono bali kiuno..tusubiri!Hakuna kibaya alichoandika.I'm sure tungejua kilichopo nyuma ya pazia na kitakachoendelea wiki ijayo baadhi ya comments zingekuwa tofauti.
January amefanya kosa kubwa Jana na akiendelea kulifanya Kesho itakua .........
Haya Magufuli nae atapata chance.