kijana wanamtafutia zengwe aondoke pale na inaweza kuwa mwisho wake kisiasa,mzungu anapata wapi ujasisri wa kuita press conference kumnanga waziri tena ndani ya nchi yake angefanya hayo kwao tusingestaajabu.Mimi mwenyewe hapa nipo kimya.
Natafakari na kuchunguza kama ni kweli au ni chuki,fitna,wivu,kijicho au roho mbaya.
HALAFU HAWA WAZUNGU TUNAWASHADIDIA SANA, KWAO HUWEZIKUPATA HII PUBLICITY YA NAMNA HII, HUO UKOLONI ULIPO KWENYE VICHWA VYA BAADHI YA WATANZANIA AMBAO BOB MARLEY AMEUPIGIA KELELE KITAMBO (EMACNCIPATE YOURSELF FROM MENTAL SLAVERY) MZUNGU TUNAMPA KIKI, WEWE JITU JEUSI UKIWA KWAO HAKUNA HATA MTU ATBOTHER KUKUJADILI, KWELI TUNA MIKA MINGI YA UTUMWA KWENYE AKILI ZETU! MUNGU ATUEPUSHIE WENGINE MBALI!!kijana wanamtafutia zengwe aondoke pale na inaweza kuwa mwisho wake kisiasa,mzungu anapata wapi ujasisri wa kuita press conference kumnanga waziri tena ndani ya nchi yake angefanya hayo kwao tusingestaajabu.
Wote weziSwahibaaaa wa damu
Awali tuliaminishwa mdhamini wa ACT ni LOWASAA leo tunaambiwa nchemba na makamba.Mkuu tulishasema kuwa Act ni tawi la ccm na mtu aliye simamia mkakati huo ni mwigulu na makamba
Unataka akurupuke ili apate aibu.siko CDM mkuu.pia CDM kwasasa kimejijenga zaidi.ACT inahitaji platform kama hizi kutueleza misimamo yake kwa vitendo.kumbuka ZZK ni.marafiki.
Kwan la awali lilitokea wapi kwenda wapi.Ikitokea wapi kwenda wap
Mwanza - kigomaKwan la awali lilitokea wapi kwenda wapi.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji125]Mwanza - kigoma
Leka dutigite[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji125]
Homa ya WANASIASA uchwara.Leka dutigite
Hazina ya kupiga madili? Tanzania mwanitesa. Manchester United mwanitesa. Simba mwanitesa. Niende wapi mimi?
Ni kweli kabisa kupata madiwani 10 nchi nzima lazima Homa ya ZIKA isumbueHoma ya WANASIASA uchwara.
hahahahahaaaa zito naye ameshuka chini kisiasa anataka kujipandisha tena uwiii amebugiiiKama umesoma magezeti ya Jumapili Zitto ameibuka na story ya Magufuli kuwa halipi kodi. Zitto alijuwa kuna uwezekano wa magezeti kubeba story ya January hivyo akatoka na single ya mshahara wa rais na kodi akidhani kuwa ataweza kuhamisha mada.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji144]Kaburini.