Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,698
- 4,693
Kapuuzi tu haka! Hawa ndo baadaye wataanza kutetea ushoga. Muhimu ni kuzuia mimba, siyo kuruhusu kuzaa na kurudi shuleni.Akihojiwa na Zuhura Yunus wa BBC nchini Uingereza Mbunge wa Kigoma Mh Zitto Kabwe amesema uzalendo sio kuitetea serikali bali kulipenda na kulitetea taifa.
Amesisitiza kuwa uzalendo bora ni ule wa kuikosoa serikali kwa manufaa ya taifa na kwamba yeye hajaomba Tanzania ifutiwe mkopo bali mkopo usitishwe hadi andiko litakapoboreshwa ili wanufaika wawe ni wasichana wote bila kujali walipata ujauzito ama la.
Source: BBC Dira ya Dunia
My take: Hii tafsiri ya Uzalendo iliyotolewa na Zitto ni sahihi?