johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Hili pendekezo la Zitto Kabwe linanikumbusha ule usemi wa Usimwamini Mwanasiasa
Huyu Kijana nilimuamini sana wakati wa Buzwagi Kumbe hana hata chembe ya Uzalendo
Yaani NHIF wanapigania Fedha za Dawa, Wanafunzi vyuoni hawana Mikopo yeye anasema asilimia 10 ya Bajeti iende kwenye ruzuku?!!
Bure Kabisa hii product ya Bavicha
Huyu Kijana nilimuamini sana wakati wa Buzwagi Kumbe hana hata chembe ya Uzalendo
Yaani NHIF wanapigania Fedha za Dawa, Wanafunzi vyuoni hawana Mikopo yeye anasema asilimia 10 ya Bajeti iende kwenye ruzuku?!!
Bure Kabisa hii product ya Bavicha