Zitto Kabwe ni faida gani unaipata kwa matamshi haya?

Dam55

JF-Expert Member
Oct 8, 2015
5,592
11,831
Kama watanzania hatuwezi kunyamaza kimya tukiwachekea wanasiasa wa hivi inaonekana kuna faida fulani wanayo ipata kwa kupitia haya matamko.

Mnataka kutuaminisha nini watanzania na tukisha amini hicho mnachotaka tukiamini Kisha nini kifuate?

Tunajua haya matamko yenu yana nia ovu Ila mjue tu kuwa watanzania hatugawiki Kama mnavyodhani hata kama mkichochea namna gani.

Screenshot_20200822-165735.png

Screenshot_20200822-165937.png
 
Wewe wasema siyo mgombea Urais wako, anaongea upuuzi wa kushawishi NEC wamuengue TAL.
 
Nadhani Zito Zuberi kabwe yupo sahihi 100%

1. Kuzuwia wagombea kwa maana ya kisingizio chochote ni kudhulumu haki za watanzania. Hili halikubaliki, waache watu wataamua.

2. Mahakama zisiwe kichaka kuhujumu nia za wagombea mbalimbali na isitumike kuchafua uchaguzi kwa kisingizio chochote.

Zito yu sahihi 100%
 
Kama watanzania hatuwezi kunyamaza kimya tukiwachekea wanasiasa wa hivi inaonekana kuna faida fulani wanayo ipata kwa kupitia haya matamko.

Mnataka kutuaminisha nini watanzania na tukisha amini hicho mnachotaka tukiamini Kisha nini kifuate?

Tunajua haya matamko yenu yana nia ovu Ila mjue tu kuwa watanzania hatugawiki Kama mnavyodhani hata kama mkichochea namna gani.

View attachment 1544916
View attachment 1544917
Anatafuta covarage huyu baada ya kuona chama chake hakisikiki....habari ya mjini ni chama kubwa CCM na kazi safi ya uteuzi wa wagombea
Na kwa upekee GWAJIMA kutetemesha watu
 
Matokeo ya kura za maoni ya CCM yamevuraga attention yote ya wananchi kwa upinzani mpaka sasa media na social media zote zipo busy na wagombea wa CCM. Wapinzani wanajaribu kurudi kwenue peak na matamko ya ajabu ajabu.

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Vyama Vya upinzani vya Tanzania ni vipumbavu mno.

Kwahiyo yeye chama chake ndio makini... Chama gani sio !?.. Pumbavu
 
Back
Top Bottom