Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,569
Naona kwaajili ya kuandika mambo mengi ya kupika umepoteza muelekeo na kudhani mimi na pinga zitto kuwania urais!
Come down my dear ninachopinga ni nyie kutumia jina lazitto kutaka kupandikiza chuki na kuivuruga cdm! Kamwe hamuwezi kabisa!
Nilikwambia ni bora urudi kwenye topic kuliko kuongea maneno usiyoweza kuyatolea ushahidi hata mdogo
nikikwambia toa evidence kwa unacho kiongea utashindwa kama kawaida yako!
Ngoja huku ni kusamehe maana huna uwezo nako unachojua ni upishi wa uwongo na kupost!
Jaribu kurudi kwenye topic maana tukija kwenye uwanja wa kutoa ushahidi hakika nita kugalagaza wala hutotoka!
Turudi kwenye hoja za msingi achana na mambo ya mitaani na kwenye vijiwe!
Cdm hatutogombana kwa sababu ya urais-zitto
Come down my dear ninachopinga ni nyie kutumia jina lazitto kutaka kupandikiza chuki na kuivuruga cdm! Kamwe hamuwezi kabisa!
Nilikwambia ni bora urudi kwenye topic kuliko kuongea maneno usiyoweza kuyatolea ushahidi hata mdogo
nikikwambia toa evidence kwa unacho kiongea utashindwa kama kawaida yako!
Ngoja huku ni kusamehe maana huna uwezo nako unachojua ni upishi wa uwongo na kupost!
Jaribu kurudi kwenye topic maana tukija kwenye uwanja wa kutoa ushahidi hakika nita kugalagaza wala hutotoka!
Turudi kwenye hoja za msingi achana na mambo ya mitaani na kwenye vijiwe!
Cdm hatutogombana kwa sababu ya urais-zitto
;labda mfanye kile cha CHACHA WANGWE lakini napo safari hii hadi CHADEMA HURU IPATIKANE