Zitto Kabwe ndani ya Karatu

Zitto Kabwe ndani ya Karatu

Mnafiki mkubwa huyo kazi kila kukicha kuropoka Urais ili CDM wapoteze lengo.Inabidi kila anakoenda ni lazima Kitengo cha intelejensia CDM kipeleke watu kumfuatilia.

wewe shamba boi na tarishi wa Dr. Slaa tuliza akili hiyo ndio demokrasia; hata wewe kama unajiweza tangaza nia yako ya kugombea uraisi; kumbe na Chadema mna intelijensia asante sana kutujuza; niliwahi kuambiwa intelijensia yenu inafanyakazi kama mganga wa kienyeji; kuwekeni makini msije makijita vidole vya macho.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
naona ni kundi kubwa sana,sijui mafunzo wamepatia wapi au ni alshabab wa somalia

Sio kundi tu ni wapiga kula wake wa mwaka 2015!
Subilini mziki wao 2015 ndo mtajua mafunzo yamepatikana vipi na wapi.
 
:ranger: leo naona kundi la zitto lipo juu zaidi kwa vijembe kuliko siku zote, inaonekana jamaa wamejipanga kwa lolote humu ndani.

Kama noma na iwe noma mnaacha kuleta hoja za msingi mnaketa hoja za ushabiki hapa halafu muachwe salama?
 
wewe shamba boi na tarishi wa Dr. Slaa tuliza akili hiyo ndio demokrasia; hata wewe kama unajiweza tangaza nia yako ya kugombea uraisi; kumbe na Chadema mna intelijensia asante sana kutujuza; niliwahi kuambiwa intelijensia yenu inafanyakazi kama mganga wa kienyeji; kuwekeni makini msije makijita vidole vya macho.

Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu Inteligensia yao ni majungu ambayo molemo mshumbusi na ben saanane wanampelekea babu slaa.
Wadanganyeni hao hao.
 
Suala siyo kumpa wala kutompa Bob! suala ni kauli gani unatoa wapi? Sasa na Mbowe, Slaa, Mnyika, Mdee, Sugu, nk wakienda kwa wananchi/wanahabari wakitoa kauli kama hizo itakuaje? Mbona hata nyie wa CC Mabwepande mna utaratibu? Mbona hata huyo C*F bibiye wenu wana utaratibu? hakuna mropokaji? ZZK ni pandikizi na hana nafasi! tuko tayari kupoteza wanafiki na mapandikizi wote na kuanza moja!!

Hana nafasi chadema kwakuwa si mchagga.
Katiba mpya ijayo inanipa raha kweli hasa kipengele cha kushusha umri ,na kipengele cha mgombea binafsi!
 
Dah! Kweli hii ndo JF yani watu majungu tu alafu eti chama kimoja? Hebu acheni jamani hayo majungu mnayopigana na kuchafuana ninyi kwa ninyi kwani nyie wote ni wamoja na mnaunganishwa na CHADEMA na adui yenu mkuu sio Zitto, slaa au Mbowe bali adui yenu ni CCM, sasa inabidi mbadilike kwani haya mabandiko mnayoyaandika hapa na matusi juu ni kujiharibia sifa,

acheni jamani ushabiki wa watu na internal chuki kwani zitakiangamiza chama.


watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa yao.

Mkuu umeacha lini kuwa adui wa zitto,?
Wewe kweli unaweka maslahi ya cdm mbele na sio maslahi ya mbowe na slas?
haiwezekani watakua hawajakulipa mshahara hewa pale chadema tv.
 
Mkuu umeacha lini kuwa adui wa zitto,?
Wewe kweli unaweka maslahi ya cdm mbele na sio maslahi ya mbowe na slas?
haiwezekani watakua hawajakulipa mshahara hewa pale chadema tv.

Tuntemeke@work
 
KAKA maadam tunawajua lazima tuwaweka hadharani tukimumunya MANENO watakuja kaharibu CHAMA CHETU. na huyo MWAPAMBA anajinadi yy NI mbunge aliyechakachuliwa. HATA jamii itatushangaa kuwa na Wabunge wa CARIBER ya huyu MVUTA BANGI. Wakienda kwenye misiba wanakunywa pombe mpaka wanalala vibarazani na Mwenzie GWAKISA.

Hahahaa!bangi anayovuta ni ile aliyobakishiwa na lema.
Kitu cha arusha!
Pombe wanakunywa kwa hela zao we zinakuumanini?
Naona bado una machungu yakunyimwa ofa ya bia uliyowaomba wakununulie siku ile kwenye msiba wa bob makani!
Pole shost!
 
Tuntemeke....kwi....kwi....tehe....tehe..

Hii ni kampuni wewe kuwadi wa uzandiki!
Ina matawi nchin nzima!
Naomba nisaidie hapa mkuu hivi kura 2000 ukigawa kwa siku tisini ulizofanya kampeni ,jibu lake linakuwa kwa siku ulikuwa unapata kur a ngapi?
Jibu hili kwanza ndipo tuendelee!
 
Zitto amewashika pabaya 2015,kama ni maumivu ya tumbo basi ni la kuhara lazima mkajisaidie ndio mpate nafuu mkibana yamejaa kwenye gwanda.
 
Back
Top Bottom