Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 33,719
- 55,339
“Tangu asubuhi nimeamka taswira ya maalimu Seif inanijia na natamani leo angekuwepo hapa katika uzinduzi huu na naamini huko aliko anatabasamu na mwenyezimungu aendeleee kumuweka mahala pema peponi” -
@zittokabwe
, Kiongozi wa Chama ACT Wazalendo
@zittokabwe
, Kiongozi wa Chama ACT Wazalendo