johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Ukipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.Umenichekesha, apumzke mbinguni kwa baba, ulienda au uliwahi kufika huko ukahakiksha yupo, au una jua aliko kwa sasa.?! embu muwe mnaficha upumbavu wenu.
Wewe ndio huoni soni!Eti mbinguni 🤣🤣🤣🤣
Huoni hata aibu
Haisaidii chochote kwa sasa bwashee.Comrade tulia watu wamwage nyongo zao.
Pia wafuasi wake tulieni dawa iwaingie.
Wafuasi wa ccm wanadhani bado kuna watu wa kutetemekea gari la mwenyekiti wa kijijiComrade tulia watu wamwage nyongo zao.
Pia wafuasi wake tulieni dawa iwaingie.
Daima mpumbafu wala hajijui mkuuUmenichekesha, apumzke mbinguni kwa baba, ulienda au uliwahi kufika huko ukahakiksha yupo, au una jua aliko kwa sasa.?! embu muwe mnaficha upumbavu wenu.
Ameumbwa bila nut ya soniEti mbinguni
Huoni hata aibu
Umeonaeeee?Inaonekana njia rahisi ya kupata kick ni kukomaa na Hayati...
Kangomba Mmawia hujambo?Daima mpumbafu wala hajijui mkuu
Basi mbinguni kusingekuwa raha sanaHaisaidii chochote kwa sasa bwashee.
Mufti Abubakar na Kardinali Pengo walimsafishia njia Magufuli kuelekea mbinguni!