Zitto Kabwe mwenyekiti mpya kamati ya PAC

Zitto Kabwe mwenyekiti mpya kamati ya PAC

hivi wwakina zito walisha maliza huko jkt au inaruhusiwa kuondoka kama kuna udhuru? naomba kufahamishwa.
 
Hongera Mheshimiwa
...aisee vipi mambo...nimekuona kwenye web ya serengeti freighters..ebu nipe utaratibu wa kuingiza gari tz.....kutokea japan kwa kupitia kampuni yenu....au nyie mnashughulikia issue za kutokea UK tu??....maana nimeona kampuni yenu pia kwenye ule utata wa TBS na kampuni za kukagua magari nje......
 
:A S shade:Big up Zito! Tanzanian we know dat ua excelence performer and we verifying it by tangible and constructive output to tz society. Penye jembe shoka hujitenga lenyewe!
 
Mhe Zitto Kabwe ameibuka kidedea kwenye uchaguzi wa kumtafuta mwenyekiti wa kamati ya hesabu za Serikali (PAC) baada ya kumbwaga Mhe. Cheyo kwa kupata kura 13 kati ya 17.

Zitto awali alikuwa ni mwenyekiti wa POAC, kamati iliyovunjwa siku chache zilizopita na kuunganishwa na kamati ya PAC.

Binafsi nampongeza Zitto na kumtakia utendaji mzuri kwenye majukumu yake hayo mapya. Taifa linamtegemea.
Bibi kibogoyo na Magamba wenzako take note: imekula kwenu
 
He! leo wote wanampongeza zitto! nyie wengine si huwa mnamponda humu eti mamluki,mara oooh siasa za maji taka,
Saivi mmekubali kuwa Zitto JEMBE eenh.
Hongera mkuu,endelea kuwaonyesha kuwa wewe UNAWEZA na wala HAUBAHATISHI.
but Amini kuwa unachaguliwa kutokana na uwezo na ufanisi wako katika kazi nasio dini wala kabila lako.
 
Saafi ZZK! Itumie nafasi hiyo kuibua madudu ya serikali ya magamba, ili waTZ wazidi kuiamini CDM!
 
Mhe Zitto Kabwe ameibuka kidedea kwenye uchaguzi wa kumtafuta mwenyekiti wa kamati ya hesabu za Serikali (PAC) baada ya kumbwaga Mhe. Cheyo kwa kupata kura 13 kati ya 17.

Zitto awali alikuwa ni mwenyekiti wa POAC, kamati iliyovunjwa siku chache zilizopita na kuunganishwa na kamati ya PAC.

Binafsi nampongeza Zitto na kumtakia utendaji mzuri kwenye majukumu yake hayo mapya. Taifa linamtegemea.
Siku zote nimekuwa nikisema ZZK is powerful MP, sasa with PAC at his hands, this makes ZZK the most powerful MP ndani ya bunge hili!.
ZZK take advantage ya PAC kutimiza ile ndoto yako!.
Chadema msifanye makosa ya ki CCM, kutengeneza wagombea urais wa kibindoni!, "ikulu mtaishia kuisikia...!"
Pasco.
 
Hongera ZZK.
Ni bahati mbaya tu sitegemei jipya zaidi ya kuuma na kupuliza...Siku hizi napata tabu kumtofautisha ZZK wa sasa na maCCM.
Lakini yote kheri...

I like this song:
"NIDANGANYE DANGANYE DANGANYE TUUU UKINIAMBIA UKWELI NITAUMIA..."
 
Tatizo kubwa kati yangu na Zitto ni kwamba sina Imani naye kwa lolote kwasasa!!!

Bora yako umesema kweli. Wengi wetu hasa washabiki wa CDM hawampendi ZZK kwa hiyo pongezi yyt juu yake ni ya kinafiki!!

sometime its wise to clear!!
 
Ni heri nimuamin Shetani kuliko kuamuamin mwanadamu mnafiki kama Zzk.
 
Mhe Zitto Kabwe ameibuka kidedea kwenye uchaguzi wa kumtafuta mwenyekiti wa kamati ya hesabu za Serikali (PAC) baada ya kumbwaga Mhe. Cheyo kwa kupata kura 13 kati ya 17.

Zitto awali alikuwa ni mwenyekiti wa POAC, kamati iliyovunjwa siku chache zilizopita na kuunganishwa na kamati ya PAC.

Binafsi nampongeza Zitto na kumtakia utendaji mzuri kwenye majukumu yake hayo mapya. Taifa linamtegemea.
nakutakia kazi njema
 
Safi zzk.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom