nice 2
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 747
- 520
- Thread starter
- #221
Huyo ccm na sio cdm inabidi tuwe makini na watu wanaojifanya chadema kumbe ccm wapo kwa ajiri ya kumchafua zitto inchi hii tukiacha unafiki nani asiyemkubali zitto kuanzia wabunge wote hata wa ccm mpaka wanainchi acheni unafiki
Asante mkuu kwa kunifumbua macho